@.hbsquare: #hbsquare #motivation #drcongo #uganda niitieni vijana wenu muwaambie tajiri hb anafanya matumizi ya ela usiige hii kama unalipwa mshara ni mbaya kwa afya ya kijana mpambanaji

HB sQuare
HB sQuare
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 13 August 2026 13:23:44 GMT
641787
33828
2280
742

Music

Download

Comments

daumuh2
🦋suu🌸💓 :
kam un kaz n iz el kasaidie maskin upat zaid bro
2026-08-20 08:12:33
0
westpusher1
DON PABLO :
Kuna Miaka Fulani Nilikuwa Na Maisha Ya Kishamba Sana Ila Ni Siku Moja Iliyobadilishaga Mitazamo Yangu Kwenye Maisha Siku Ambayo Ilinifunza Kuwa Humble,Nilienda Muhimbili Kuna Mama Aliniita Nikazungumze Nae Nilikutana Na Mmama Mtoto Wake Aliangukia Kisogo Kwahyo Gharama Za Matibabu Ni 1.2m Yule Mama Amwshindwa Kuilipa Amekaa Tu Nje Pale Anacheza Na Mwanae Nilimuuliza Maswali Kadhaa Kujua Nn Shida Akaniambia Kuwa Yeye Mwenyew Tangu Azaliwe Hajawah Kushika Laki 2 Ya Pamoja Hiyo Hela Yote Anaitoa Wapi 🤔🤔Aisee ndio nikajua Kuwa Kuna Watu Wanapata Shida Sana Aisee Ndio Nikaachaga Upumbavu Wote Nakuwa Humble Mpaka Leo Kwahyo Nikionaga Madogo Kama Hawa Najisemeaga Ni Stage Tu Ya Ukuaji Wakikua Wataacha Ni Wakati Wao Huu Ila Wanatakiwa Kujifunza Vitu Vingi Sana Kwneye Haya Maisha 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
2026-08-14 05:55:18
1276
edesiusmhagama
EDO__tz✝️ :
kwani hii inauzwa Bei gani
2026-08-13 14:41:39
161
sele.boy717
SELE BOY :
tajir aendeshi crown
2026-08-13 15:48:48
363
fredyjoseph255
sound engineer 💽🎚🎛🛠🔩 :
faida yake nn sasa hapo
2026-08-13 16:23:25
552
abuufairuza
Abuu🍁 :
Huyu Nani Tena Mjini Ticktok??🤔
2026-08-13 19:48:49
210
closet.bank
CLOSET BANK :
Huyu anabishana Na nani kwani??
2026-08-14 08:17:44
243
doryn_luxehub
Doryn_Luxehub🛍️ :
Mdogo wake chief Godlove au?😳🤣🤣
2026-08-17 19:28:44
0
saimon_749
saimon_749 :
Chief godlove wa zamani😂😂
2026-08-13 20:48:43
4
master_cana
Jicho La Tai 🦅 :
kwani henessy ni sh ngapi?
2026-08-13 14:39:23
66
saydfundwerding6
sayd werding Tbt :
yote ya nin yan kuna faida gan wapo weny uhitaj wa lizik wapo wenye uhitaj bro yote ayo ya dunia tu
2026-08-13 15:23:18
156
kachistore_
kachistore_ :
Katokea mkoa gan huyu
2026-08-13 15:33:17
62
hassanmpole4
hassanmpole4 :
kwel akili kitu Cha maana sana bro. hyo Hela unayochezea ni Bora ungesaidia maskini ungeonekana wa mana
2026-08-13 16:02:36
79
user798503548607
Official _Kim Naah Tz💖 :
Unatunza risiti?
2026-08-14 09:02:16
37
sezaaztf57c
thug life :
spati picha siku ukakosea masharti sijuwi itakuwaje
2026-08-14 10:06:25
42
fettymobetto
fettymobetto :
endelea na masharti yako usituchoshe
2026-08-14 13:32:15
28
isayawinfred
Mr isaya :
kuna watoto wahitaji kibao wangekuombea upate zaidi kwa mwenyezi mungu kaka
2026-08-18 16:23:52
5
makorokocho4
makorokocho :
Mbona kama Nakumbuka nilipo jiunga Tiktok nilichagua Mambo ya Mpira sasa haya yanatokea wapi ?
2026-08-17 11:46:02
8
mwangata82
Vivian :
tuonyeshe expdat
2026-08-14 13:08:00
11
pavooh62
Pavooh :
KWAN HIO POMBE SHINGP
2026-08-14 05:57:27
18
user534920778621
frank :
sasa iyo pesa kaka si ungepeleka kwenye vituo vyawatoto yatima aseee
2026-08-14 10:30:05
8
peter.josephat87
P. j.t :
tunakuangalia tu
2026-08-13 16:30:37
61
milelegemingempire
MILELE GEMMINGEMPIRE 🎮 :
dear God, before wealth,wisdom first.
2026-08-13 16:03:00
9
To see more videos from user @.hbsquare, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

سورة القصص الآية - 16 القارئ :#غيث_سمرين  #قران #quran #quran_alkarim  . - - - - أكبر ساعة في العالم ساعة (مكة) وتقع على قمة برج الساعة في مجمع أبراج البيت بمكة المكرمة. يبلغ ارتفاعها حوالي 601 متراً، وتتميز بأربع واجهات كبيرة يمكن رؤيتها من مسافات بعيدة. تم تصميمها على الطراز الإسلامي وتضم العديد من الميزات الفريدة، بما في ذلك لفظ الجلالة “الله أكبر”، وأكبر هلال تم صنعه حتى الآن. معلومات إضافية عن ساعة مكة: الارتفاع والوزن: يبلغ ارتفاع برج الساعة 601 متراً، ويصل وزن الساعة بالكامل إلى 36,000 طن، وفقاً لوكالة الأنباء السعودية. تحتوي الساعة على أربع واجهات، كل منها يبلغ حجمها 43 × 43 متراً للواجهتين الأمامية والخلفية، وحوالي 39 × 43 متراً للواجهتين الجانبيتين. الزخرفة: يزين قمة الساعة لفظ الجلالة “الله أكبر”، حيث يبلغ طول حرف الألف في كلمة “الله” أكثر من 23 متراً، كما يزينها هلال يبلغ قطره 23 متراً، وفقاً لموقع كارديل. التوقيت: يرتبط مركز توقيت مكة المكرمة بشبكة التوقيت العالمي “UTC”. الإضاءة: تستخدم الساعة 21,000 مصباح LED باللونين⁩⁩
سورة القصص الآية - 16 القارئ :#غيث_سمرين #قران #quran #quran_alkarim . - - - - أكبر ساعة في العالم ساعة (مكة) وتقع على قمة برج الساعة في مجمع أبراج البيت بمكة المكرمة. يبلغ ارتفاعها حوالي 601 متراً، وتتميز بأربع واجهات كبيرة يمكن رؤيتها من مسافات بعيدة. تم تصميمها على الطراز الإسلامي وتضم العديد من الميزات الفريدة، بما في ذلك لفظ الجلالة “الله أكبر”، وأكبر هلال تم صنعه حتى الآن. معلومات إضافية عن ساعة مكة: الارتفاع والوزن: يبلغ ارتفاع برج الساعة 601 متراً، ويصل وزن الساعة بالكامل إلى 36,000 طن، وفقاً لوكالة الأنباء السعودية. تحتوي الساعة على أربع واجهات، كل منها يبلغ حجمها 43 × 43 متراً للواجهتين الأمامية والخلفية، وحوالي 39 × 43 متراً للواجهتين الجانبيتين. الزخرفة: يزين قمة الساعة لفظ الجلالة “الله أكبر”، حيث يبلغ طول حرف الألف في كلمة “الله” أكثر من 23 متراً، كما يزينها هلال يبلغ قطره 23 متراً، وفقاً لموقع كارديل. التوقيت: يرتبط مركز توقيت مكة المكرمة بشبكة التوقيت العالمي “UTC”. الإضاءة: تستخدم الساعة 21,000 مصباح LED باللونين⁩⁩

About