🥰🥰 mandiko yenyewe yanasema asiyefanya kazi na asileeeee🥰🥰
2026-08-14 08:17:17
162
jamrezo :
Tell them about the truth pastor
2026-08-14 05:29:50
71
Grace Sichilima :
Apo sasa ndo natakiwa nikasali sasa 👏👏👏👏👏👏👏👏🥰🥰🥰🥰🥰
2026-08-16 09:37:28
25
P mchina :
Huyu ndo mtumishi anaejielewaaaa
2026-08-14 15:06:18
45
Shakiru Dauda :
Hii iwafkie vijana wote Tanzania nzima
2026-08-14 07:08:08
73
@Kerryperry🇺🇸🇺🇸 :
eti tingisha simu hela zitaingia zitoke wapi mbinguni😂😂😂
2026-08-15 14:19:21
27
Trophaina :
na Mchungaji akafanye Kazi
2026-08-14 13:15:01
13
EDIGA YOU🧎♂️ :
Moja kwa moja status 😂😂
2026-08-15 13:24:55
17
Ann Mutinda :
mchugaji watu wafanye kazi
2026-08-14 19:25:28
9
DJ JEFF GEE :
😂kuna pastor karibu akuzimie mic 🎤
2026-08-15 06:04:40
7
winniep.254 🔥 :
kumbe sijakosea😳nina miaka tatu sijaenda kanisa mimi hivo pastor hamna neno?
2026-08-15 22:23:23
8
Emmanuel_Gabriel :
Point of correction: Usiseme kushinda kanisani, I don't think kama Kuja ibada ya jioni saa 11 hadi saa 12 ni kushinda kanisani ... 1 hour kwa Mungu haikuzuii kufanya kazi...
kazi tunafanya na kwa Mungu tunakuja,
2026-08-14 22:59:48
31
Senior Pastor Mapunga :
Bro hongera ila nikuombe kuwa makini ktk mahubiriya aina hiyo si kila mtu anaweza pokea kwa ufaham huo maana kuna watu hapo ndio unawaua kabisa, kushangiliwa sana sio kipimo pekee cha usahihi wa mahubiri
nimefanya hivi mwaka 2021 mimehudumu kanisani kwa miezi 12, nimeacha kazi zote nikaamua kuhudumu kanisani aisee mwisho wa siku kodi imekata, ada za wanafunzi niliokuwa nasomesha ikaisha, aisee acha nisiongee mengi...
2026-08-15 21:58:46
5
Mŧőŧő ẅä Ṣ̌ĥőṣ̌ĥ🫵 :
I second you walai
2026-08-15 06:28:12
5
Dj phleshy :
watu wafanye kazi.
2026-08-15 15:18:35
5
JojoOutfits :
Waaaambiiiie baadae wanakuwa na wivu husda roho mbaya mwingine akipata watoke huko wakafanye kazi
2026-08-14 10:24:44
12
Quincy maria :
talk the truth and the truth shall set us free ... barikiwa pastor
2026-08-14 16:41:44
14
eunice18minister :
kwani huko kanisani hata kama ni Kila siku lakin ni jioni saa kumi na nusu huko au saa 11 jioni au
hapo si muda wa kazi umeisha kabisa jmn
2026-08-14 07:42:18
12
Leonard Lamau :
Yohana 4:23-24
Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
Mungu atusaidie .🙏
2026-08-14 09:51:25
23
Nancy nyanchama :
wengine ata hawaogi ni kushinda kanisani 🤣🤣🤣🤣Good advice for people with wisdom
2026-08-15 10:01:58
11
To see more videos from user @mwl.emmanuelfungo, please go to the Tikwm
homepage.