😂😂😂me nachanganya maziwa,asari,miwa,limao,kachumbar na chumvi kwa mbaaali😂😂
2026-08-13 18:12:26
1291
Elizabeth philimon :
Nyerere amka baba uone watu uliowapigania uhuru 😂😂😂😂
2026-08-14 09:09:25
539
ba ochu 45 :
me naogea oil ety
2026-09-02 14:14:25
0
Fatahow shukri :
Labda ishirini ya TZ ni mbili(2)😂
2026-08-13 20:10:30
1422
Elizabeth Beth :
watu wangu wa +254 mko wap😂😂🤣 sisi twaogea yoghurt na tende 😂
2026-08-13 21:17:32
530
leyla salim🇰🇪❤🇹🇿 :
jamani tupunguze uongooo
2026-08-13 17:52:28
483
🦋🦋 :
Nyerere angejua asingepambania uhuru 😳😂
2026-08-13 22:38:25
36
clarisse :
niongee kwa kusimama au kwa kukaa🤣
2026-08-15 06:05:13
14
official killah 💕 :
namlaumu sana Nyerere ku2mia nguvu zake kutupa uhuru😂😂😂😂
2026-08-14 11:23:21
53
👾 :
mi ata sija oga toka jana🥺
2026-08-14 14:37:04
23
Abufarouq :
tupige hesabu kidogo anatumia Lita 10 kwa siku na anaoga mara 20 kwa hyo ili Lita 10 itumike mara 20 ni lazima atumie 0.5 Lita ya maziwa kwahyo hayo maziwa nusu Lita sio ya kuogea ni ya kunywa na vitumbua pale kwa mama muuza
2026-08-17 19:18:23
6
Head girl💞💞💦💦💦❣️❣️ :
🤣🤣🤣mm najua maji n ya kukunywa hio habari ya kuoga ndo sina 😂😂😁😁😳
2026-08-13 22:21:37
6
👑Browse🤘purpy ✨🎶✨ :
usikute Tanzania nd channel ya vichekesho mbinguni 😅😅😅
2026-08-14 03:36:04
154
flair.yuu :
hata mimi jamany naoga na unga wa ngano nikitoka apo mwarabu ni mimi😅😂
2026-08-14 12:04:09
10
Moo Love :
hospital ya milembe zinatakiwa ziwe kwa wingi jijini dar
2026-08-13 18:33:11
158
Junior 38g :
Huwezi amini mi naogea damu ya yesu lohoni mwangu ety@
2026-08-14 21:23:32
14
George 🧎♂️ :
nifundishe kunyamaza ivi ile nyimbo kaimba nani anaejua comment hapo😂😂😂
2026-08-13 18:51:17
823
Hellen Jaccob :
hii nchii uhuru umezidi saana😏😏
2026-08-13 17:57:55
327
To see more videos from user @bongo_media, please go to the Tikwm
homepage.