@jukwaa.la.maarifa: ‎Dkt Sheikh Abdulrazak Amir Amewakumbusha Baadhi ya Wanandoa Kuhakikisha Ni Vyema Kutokagua Simu Ya Mwenza Wako Mfano Pale Unapoingia Ujumbe Mfupi Wa Meneno Katika SIMU(Message) ‎Miongoni Mwa Changamoto Kubwa Katika Mahusiano ni Pamoja Na Shida iliyopo Katika Wenza Kukagua Simu za Wenzao ikiwepo Kukagua Message ya Mumeo Au Mkeo ‎ ‎Baadhi Message Zinazoingia Katika Simu Zimekua Na Maudhui Ambayo Ayatompendeza Mmoja Wapo Hivyo Ni Rahisi Kuanzisha Maugomvi na Matatizo Baina Yao ‎ ‎Dkt Sheikh Abdulrazak Amir Amewakumbusha Baadhi ya Wanandoa Nyakati za Uchumba Ulikua Ukiona Message ya Mwenza Wako Unajikuta Unafurahi Tu Kuona Umetumiwa Ujumbe Na Mwenza Wako

JUKWAA  LA MAARIFA🕌
JUKWAA LA MAARIFA🕌
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 14 August 2026 12:51:45 GMT
30962
1273
40
559

Music

Download

Comments

khairat3973
khairat :
siwez kaa bila kukagua cm ya mume wangu na ananijua kua mpekuzi anaiyacha tu cm yake
2026-08-14 16:17:26
3
lemsatayn
Fs consultant :
Sheikh ndoa haifundishwi inaelekezwa tu hata ww unamambo yako na mke wako
2026-08-15 18:00:48
4
twalha134
Twalha 🥰🥰 :
Apo shekhe utanisamehe siwezi pk nishike sm yake mbona wao wanashika zetu 🤣🤣🤣🤣
2026-08-14 19:20:46
2
hashimwabu
difa Kazema :
mke na mume kila mmoja anayo haki ya kukagua sim ya mwenziwake wakati wote nisahihi hatakama tuna aminiana lazina kilammoja akague sim ya mwenzake nihaki na ni sahihi
2026-08-22 16:33:15
0
hassanjaffar19
Hassan dolphins tour :
Sheikh ukunywe soda nitalipa 😂
2026-08-15 13:57:47
1
mudyjooh9
mudy joOh :
shekhe umeongea sahihi mimi mkewangu kakagua simu mpaka tumegombana kabeba viombo kaondoka kwao na Taraka sijampa shekhe wng sababu kubwa ni simu🙌
2026-08-21 16:26:13
0
sabrinaomary3
SABRAH SAYD :
Tatizo sio simu tatizo ni matendo ya mwenye sim uaminifu ni asimia 0aiku hizi na maradhi ni mengi
2026-08-19 04:56:31
0
shadya_simon15
Shadya Simon :
kama hana mambo meusi anaficha nini hyo simu mtu anaejiamini kwa ndoa yake haezi ficha ficha simu yake shekhe
2026-08-22 21:18:42
0
qays5721
QAYS :
ss shekh asifokewe
2026-08-18 15:23:20
0
mrslion78
💍𝑴𝒓𝒔 𝑺. :
Ebu niache usinishauri 😂😂😂
2026-08-16 15:38:38
0
momysa26
💞miss smiling ☺️💗 :
wee shehe mkuu niukuulize trust inakujaje na password kila kona km yeye hajiamin mimi nani..tutashika simu midhali ya mume wangu si yako shehe
2026-08-15 18:29:15
2
hawa.namvua
Hawa Namvua :
Trust ikiisha inakuwaje,na password kila kona,
2026-08-15 03:45:04
1
silayo21
mrs nyange :
kukagua muhimu kununiana kawaida😅
2026-08-15 05:23:42
1
mrs_hamid.1
Mrs_hamid :
Kufunguwa nafungua vzur babu wee tupishe abiria chunga mzigo wko
2026-08-14 16:24:21
1
lunayahcollection
lunaya colection😍😍 :
Mm na mchunga ata akienda choon😁
2026-08-14 21:46:23
1
mwanaidisuma860
Mwanaidi Suma :
nyiny mnataka zin zizid mna! mnawatete
2026-08-18 16:49:45
0
stephen.salim4
Stephen Salim :
👌👌👌
2026-08-14 13:24:19
2
esther13328
Esther 💕💕💕💕 :
🤲🤲🤲
2026-08-14 14:44:21
1
sweetbim12
biubwahassan518 :
❤️❤️❤️
2026-08-14 17:55:43
0
manja14store
ManJa14Store :
@Amney🌹🌸
2026-08-21 21:23:22
0
abdulrazakamir
AbdulrazakAmir :
🥰
2026-08-14 15:30:34
1
pillysadicky
NGUO KITONGA 📞🤗 :
😂😂😂😂
2026-08-23 07:29:17
0
To see more videos from user @jukwaa.la.maarifa, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About