pole kwa familia na marafiki zake na watanzania wote tupo pamoja na familia kuombileza msiba huu
2026-08-14 17:54:49
1
Sophie :
Nimeumia sana kuhusu kifo cha huyu kijana mdogo hivi. Tuna jeshi moja baya sana. Wanajua kufanya kazi moja tu kwa bidii. Kazi ya kuwalinda majambazi na wezi wanaoifanya nchi yetu izidi kuwa masikini ya hovyo
2026-08-14 20:04:26
0
mwanaidiathumani17 :
lnnalilah waina lilah rajun
2026-08-14 17:15:47
1
issack malugu :
mioyo inatabia yakuzoea haijalishi ni jamvo zuri au baya
2026-08-14 17:41:48
0
ONICE :
kama mbele... wasiombe vijana wa Arusha wachangamke watasimamisha DUNIA ivo tuu
2026-08-14 18:17:54
0
Mr BRM🇹🇿 :
kwel
2026-08-30 20:44:06
0
user5974296116225 :
daah hatukatai kufa ila je unakufaje
2026-08-15 14:27:32
0
athumani gogo :
😭😭😭😭😭😭😭
2026-08-15 04:28:16
0
Sophie :
😭😭😭
2026-08-14 20:02:12
0
Annah :
🙏🙏😭😭😭
2026-08-15 16:41:25
0
To see more videos from user @edutalktz, please go to the Tikwm
homepage.