@dr_daniel_md: Mtoto anakula vitumbua na maandazi kila siku? ⚠️ Watoto wanahitaji chakula chenye virutubisho mbalimbali kwa ajili ya ukuaji wa mwili na ubongo. Tatizo si carbohydrate yenyewe, bali kumpa mtoto vyakula vya wanga vilivyosindikwa na kukaangwa mara kwa mara huku akipata kidogo sana vyakula vya protini na vyakula vingine vyenye virutubisho muhimu. Katika video hii naeleza kwa nini ni muhimu mtoto apate maziwa, mayai, nyama, samaki, kunde na vyakula vingine vya protini, pamoja na mlo wenye uwiano mzuri. Usimlishe mtoto kwa kushibisha tu — mlishe kwa ajili ya kukua vizuri. ❤️ #AfyaYaMtoto #LisheYaMtoto #LisheBora #Malezi #Watoto
Doctor Daniel-Hospitali Ndogo
Region: TZ
Saturday 15 August 2026 11:00:00 GMT
Music
Download
Comments
Akwota :
"Kembambaaaaa" imenifurahisha .... simple and very educative
2026-08-16 15:48:15
4
adacha :
mhhhhh!
2026-08-18 11:58:42
0
mishy beiy :
😅😅😅😅😅uyu doctor apana kwaio mm nlipew kitumbua nikawa mfupi
2026-08-17 15:56:48
0
m🥰m🥰nuh🥰🥰 :
hivo ndo vyakula vilivyo tukuza mway hatukuelew🤣🤣
2026-08-17 16:16:25
31
Etreni Tweve :
Asante
2026-08-17 06:22:02
0
Selem Jafar :
nimekula sana tu mpaka sasa nina miaka 34 bado nakula vitumbua na nipo fresh
2026-08-16 16:35:07
49
mama hellen :
mmmmmmmmmmm🫣
2026-08-17 16:40:48
0
whizzkid :
tuwape nini.ongeq haraka
2026-08-17 05:18:12
11
Christopher Ngonyani :
katika watu wamekuwa na vitumbua ni mimi alaf nipo fresh
2026-08-17 10:09:18
12
Mama J :
nakumbuka nilikuwa nakula vitumbua kila siku napoenda shule nasikuwahi kuwa mbumbumbu🤣
2026-08-16 04:58:59
10
user978088783659 :
uongo mtupu tumekula vitumbua toka tuko tumboni hadi leo😏😏
2026-08-18 06:07:34
1
Linny ❤️ :
me naona ifikee mahalii mtibu wagonjwaa hospital maana huku mtatufanyee tuchanganyikiweee
2026-08-16 18:37:23
6
marima_G :
😂😂 ila huyu nae
2026-08-16 21:03:43
2
unclederick0 :
sasa watu wale nini tuchagulue bsi tule nini brooo
2026-08-17 11:07:52
3
Mama G✨ :
basi hata ss wazee mambumbumbu manake tumekulia kwenye chakula hivyo😂😂😂
2026-08-18 09:35:53
0
moringe :
izo imega tatu tunapata wap mkuu
2026-08-18 06:49:29
0
Elia Sanga :
uongo uo
vitumbua vimetukuza na atuna umbumbu wowote na sio ma dwof.
2026-08-17 08:27:15
4
sayyarh :
akilia kidogo kitumbua
2026-08-16 16:07:00
2
zacknation.com3 :
mzee hvy vmetukuza na akiki tulikuwa naz hap umefer mzee baba
2026-08-16 15:29:36
6
idrissamohamed16 :
Tumekula Vyote Hivyo Vimetukuza na Tunazeeka Navyo Tukiwa Fiti Kabisa
2026-08-16 20:06:54
2
sarahmichael :
kitumbua chenyewe kinasemaje
2026-08-16 21:09:40
1
gracemushi93 :
nilikua nakuamini lakini kwa sasa baaas
2026-08-17 13:44:16
3
Gaudencia :
now days wasomi mmekuwa wengi tunashindwa kuwaelewa achen watot wale ndo vitu vyao b n
2026-08-17 07:47:03
2
me :
nimemkumbuka mama choti na mama sadam walikua wanapika vitumbua vitamu sana miaka ya 90😂😂
2026-08-18 08:31:20
1
UNCLE G :
kwaiyo inatakiwa iwe nampa baada ya miaka mingap
2026-08-16 16:14:01
1
To see more videos from user @dr_daniel_md, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.