Qaswida yenyewe inaweza kuwa na maneno mazuri na yenye mawaidha, lakini si kila kinachoitwa qaswida kinakuwa halali kwa kila kinachoambatana nacho. Ikiwa imeambatanishwa na ala za muziki kama keyboard na nyinginezo, basi kwa mujibu wa kauli ya wanazuoni wengi, matumizi ya ala hizo hayaruhusiwi. Muislamu anatakiwa kuangalia si maneno pekee, bali pia namna yanavyowasilishwa. Allah atujaalie tushikilie Sunnah na tuepuke mambo yenye shaka.
2026-08-15 12:17:41
8
Murhat😍 :
Tuliokuwepo tujuane 🥰
2026-08-15 14:24:59
8
anjou :
ALLAHUMMA SWALLI WASALLIM ALA SAYYIDNA MUHAMMAD WA ALA ALIHI WA ASWAHBIHI WASALLAM
2026-08-15 07:06:22
9
Mrs: hassan :
Nimesikitika cjaenda japo Nlikuwa na tiket nimeumia sana
2026-08-15 05:03:35
7
No stress :
hivi ilifanyia dodoma sehemu gani maana naona ime kuwa kimya kimya sanaaa
2026-08-15 14:29:43
2
official jay :
hakika jana tumemtaja Mtume wetu S:a:w karibu Tena Dodoma Mashallah
2026-08-15 04:37:49
6
منورة :
kikundi cha bendi
2026-08-15 10:08:19
2
Abuu Ayman.com :
aaaa jamaaa jau sana Yan kama shekh miatano 😁😁
2026-08-15 13:49:40
1
halaaltz_online :
MAASHA ALLAH WATU WA DODOMA WAMEPATA BURUDAN
2026-08-15 06:39:16
6
ishabsaid1 :
karibuni tena Dodoma 🥰
2026-08-15 08:38:11
5
Aisha Muhamad :
kama dubai so dubai doooh 🫡🫡
2026-08-15 20:57:40
1
عبدالرحمن النوفلي 💖 :
أللهم صلى وسلم وزد وبارك على سيدنا محمد رسول الله ❤️
2026-08-17 18:52:15
2
Hayrat dd :
Maashaallah
2026-08-15 07:54:49
2
🔰123 :
Mashallah tabarakallah
2026-08-15 04:59:03
2
hamid :
mashalha
2026-08-15 06:41:50
1
Juleibib الجيلاني :
mashaallah 🥰❤️
2026-08-17 09:22:50
1
latwifh :
Mashaallah
2026-08-15 19:23:14
1
Luckybee- cosmetics :
Daah nilifurahi sana kuwaona walipita ofisini kwangu i was like wow🥰
2026-08-15 09:07:59
1
abdulmaarik :
mashallah
2026-08-15 07:29:42
1
🌟Akhy🔥Bazzy💦💥 :
doh mashaallah 🔥
2026-08-15 02:50:44
5
Mariamu kitivo.🌺❤️ :
Ahlu zaaman 🇹🇿🎤❤️. mashallahhh 😘🔥🤲
2026-08-15 06:00:05
5
SULTAN :
🥺🥺🥺doooh
2026-08-15 00:53:04
1
❤️روحى❤️ :
MashaAllah ❤️
2026-08-15 01:30:18
5
To see more videos from user @ahluzamaan_tanzania, please go to the Tikwm
homepage.