saii sio wanaume tu hata wanawake tunaondoka kimya kimya bila kuaga🤌
2026-08-17 13:04:25
23
Mr_G_•°• :
kwanza kwetu sisi wanaume ku block mtu ni udhaifu 😂.
2026-08-17 13:30:42
13
Mwabila jr :
Mimi juzi tu hapa girl friend wangu from no where kanitext ananiambia mimi na yeye ameona hiwe basi, nikamjibu tu Sawa. tumeachana kwa maneno hao mafupi tu.
2026-08-17 09:21:14
12
yakuti :
amani niboraa kuliko ushindi
2026-08-17 06:03:50
8
faihy💫👑 :
mm ni wakike lakin ndo tabia yangu iyo😅
2026-08-17 13:34:10
4
Moses john 🙏👊💪💪💪 :
uwkik brother
2026-08-17 06:35:43
2
sha chumamy🌹 :
jmn achen Leo nilie😭😭😭😭😭 apa sitolia ten
2026-08-17 21:32:44
1
Mr . Hustler :
Siwezi kukublock nitakuacha ili ujue uwezo wa kukufikia ninao ila nimeamua kuwa busy name vitu vya msing..
2026-08-17 08:16:04
11
ms_niccah :
😂😂 sikuizi wanaume Ndio mmekua mnajieleza sana hrf wanawake tunatenda😊
2026-08-17 20:01:08
3
official_dee :
na sisi wenyewee ndo tupo hivohivoo
2026-08-17 18:15:36
1
Khamomi_19 :
Hata sie gal pia 🥰
2026-08-17 16:44:41
1
scarlet heart :
Kwa heshima tu
2026-08-17 09:12:25
3
@jo_visuals :
Ndo mambo yang ayo me sina moja kwenye mbili unaleta mazinguzi nadisapia ty akuna cm akuna text ndo nishaondoka teal
2026-08-17 08:09:37
5
francJidder :
yaaaa we familia 👉👉👍👍
2026-08-17 10:15:06
2
careen Tz😍❤ :
Hamtutishi 😅,,hata sisi pia tuna apply hio kitu🤣🤣🤣
2026-08-17 14:36:47
1
GLOW & SHINE HUB :
😀😀😀😀😀 kimya na mi kimya sis wenywe hatuna mudq wa kuumiza vichwa nwdeiz
2026-08-18 15:43:29
3
💦viraj.khan4️⃣5️⃣ :
hao ni sisi apa😉
2026-08-16 13:36:36
1
user8616530227811 :
na sisi hata kama mkikiondoka kimya kimya hatuna mda wakupoteza