@doctor_sulle: KODI YA KICHWA #tiktoktanzania #tiktokviral #videoviral #foryou #usa

DR. SULLE
DR. SULLE
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 15 August 2026 08:03:05 GMT
130177
8039
169
352

Music

Download

Comments

godfreymngoni
Ngonifaceless channel :
Yohana 21:1-20
2026-08-15 14:18:29
2
blackazila
Blackazila :
Wapi kwa Bibilia inasema Yesu alikua maskini???
2026-08-16 04:40:39
7
osbonmuli
OsbonKE :
Cjaiona hio andiko
2026-08-15 18:47:07
1
diana.k.tony
Diana k tony :
kitabu gani
2026-08-16 10:05:06
4
esthermuthengi8
⚡⚡⚡ :
Hio nimekataa💯
2026-08-15 17:26:32
3
stevfox1
Stev Fox :
wee sio kwel
2026-08-16 19:12:17
0
jonalipho
Jonali :
Mathew 17,24-27
2026-08-22 05:35:46
0
mtwiku.mbale
mtwiku mbale :
kweli akuna hela ya Bure hata bwana yesu alivua samaki aialipa Kodi inamaana alifanya kazi
2026-08-17 06:05:39
0
ltoile.du.berger6
l'étoile du berger ✨ :
Amina 🙏
2026-08-16 08:12:13
0
elviskenny2
elviskenny18 :
kitabu gani
2026-08-15 17:15:33
0
djemsbabu1
djems babu 072 :
inapatikana ndani ya kitabu gani na amri zamungu yakwanza anasema usiwe na miungu mingine Ila mimi
2026-08-18 11:35:33
0
adamtembo349
BIG - T :
naomba andiko tafadhali
2026-08-15 13:30:46
2
kevinwanjala781
kevin sakwa :
kumbe kwenda illuminati si mbaya bora natumia kwa wema
2026-08-16 06:31:10
0
elviks_7mil
Elviks_7mil :
Asichokijua Sule, kuwa Yesu hakuwa mtu wa kawaida, angeweza Hata kuondoa hayo madeni, wadai wakayasahau dhidi ya wadaiwa, lakini Bwana Yesu akaagiza Peter aende baharini kuvua samaki. Kumbuka Pearl zinatoka kwenye samaki na ni bidhaa yenye thamani, Lakini Sule anatuambia habari za Majini.
2026-08-16 18:25:02
2
john_mutwii_mutua
[email protected] :
nipe maandiko
2026-08-15 14:06:56
2
king.solomon832
John Abraham :
wapi andiko Yesu alikwa masikini
2026-08-16 04:53:35
1
agge.kavalami
Aggée kavalami official 🇨🇩 :
mathayo 17:27
2026-08-15 19:55:50
0
priscaemanuel60
Priscaemanuel :
nasiku zote omba ndoano usiombe samaki
2026-08-15 10:02:58
3
user32851183793
sonda :
hakua maskini shekh, alikua na muweka hazina(mtunza fedha)
2026-08-15 14:35:29
0
user9214235344434
paluku tavulenga :
doctor,wewe ni mu Cristo tu...
2026-08-15 17:41:04
0
akothann4
Akothann :
kumbe ndiomaana mimi ni masikini naacha wokofu
2026-08-15 08:17:23
0
mla_michembe
Kijika :
sheleli hazikuwa mbili ilikuwa moja, na kwavile mtu mmoja alipaswa kulipa nusu shekeli basi shekeli ile moja ilitumika kulipa kodi yao wawili
2026-08-16 06:07:30
1
vetyroberts7
rober omosereeti :
je jini nmnyama????juu umutumia mfano wa wanyama
2026-08-15 20:20:28
1
josephwanjala28
Joseph Wanjala :
2 corinthians 8:9
2026-08-15 20:07:05
1
zadaarch
zada Arch :
ATI yesu alikuwa maskini kivipi na aliponya, kivipi na alilisha watu 5000 na elfu sita, Yesu alikuwa tajiri
2026-08-24 12:34:49
0
To see more videos from user @doctor_sulle, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About