Huyu sheikh anafaa ailimishwe zaidi kuhusu uislamu,Ilimu sio kuwa na ndevu nyingi tu,Ni kukomaa kiilimu. Kuna watu waliosilimu na kuna jamaa zao bado hawajabahatila kusilimu.
1:Tunaruhusiwa kuhudhuria mazishi yao iwapo ni family,Rafiki yako wa karibu.Nukta Muhimu:Hufai kufunga macho muda wanapoomba maombi yao,Au ibada ya Aina yoyote ile amabayo inamshirikisha Allah S.W...etc...
2026-08-18 09:13:10
0
Karim :
Hapa Sheikh nieleweshe zaidi
2026-08-16 03:46:44
1
kijubz :
sikia leo
2026-08-15 21:29:24
0
#Fool never rest... :
Kila mtu ndie mara yake ya kwanza kuja duniani. ushauri tupunguze
2026-08-16 05:51:56
1
Mariam Nchimbi :
uko sawa kabisa shekhe wakuelewa tusha elewa wasio elewa wapite hivi
2026-08-18 16:25:54
0
Aisha George :
sasa mm nimesilim nilikiwa mkilisto na wazaz wang wote wakirsto kwahy wakifa nisifike ama mbn mnanichanganya wasilam ten
2026-08-16 13:30:17
2
tawhid :
cha muhim ktka uislamu baada ya shahada ni swala,zakaat,funga ya saum na hajj kwa mwenye uwezo...yale mengne tumia hikma usitoke ktka uislamu...na hii ni kauli yangu🙏
2026-08-15 19:44:14
2
Ibrahtech👨💻😌 :
hadithi iko wapii
2026-08-15 16:51:54
4
Lyrical Ericko :
Vipi kuhusu Al shabaab! Dini inaruhusu kushirikiana nao sheikh?
2026-08-16 10:51:31
1
Sufiani Mzimbiri :
juzi nilishiriki mazishi ya mkiristo na wala sijapata dhambi maana najua mipaka ya dini yangu.
Uislamu unaruhusu Muislamu yoyote kushiriki katika baadhi ya mambo yanayohusiana na mazishi ya mtu asiye Muislamu, ajapokuwa aliyekufa si ndugu yako
Lakini kilichoharamu ni kushiriki katika ibada zao, na mambo yaliyo kinyume na dini yetu
Kuhudhuria mazishi kwa ajili ya rambirambi inaruhusiwa Muislamu kwenda kwenye msiba au mazishi ya ndugu, jirani, rafiki au mtu mwingine asiye Muislamu, hasa kwa sababu ya ujirani, undugu, utu na kuwafariji waliofiwa, ikiwa hakuna kushiriki katika ibada inayopingana na Uislamu.
Allah amesasem “Allah hakukatazeni kuwafanyia wema na kuwafanyia uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa sababu ya dini...”
(Al-Mumtahanah 60:8)
2026-08-17 09:06:19
4
To see more videos from user @risaladawaah, please go to the Tikwm
homepage.