@abuhaliimah2: Kikao cha Kuritadi Kwenye State House ya Ruto Kenya.

Abu Haliimah
Abu Haliimah
Open In TikTok:
Region: CG
Saturday 15 August 2026 14:06:44 GMT
12384
429
79
123

Music

Download

Comments

hamzaramadhan12
user7220041608871 :
kiongozi aliye kwenye mamlaka lazima aheshimiwe hata kama si muislamu,mnatafta kiki
2026-08-16 14:10:55
9
omar.ali953
Omar Ali :
MUOGOPENI ALLAH.HAKUNA ALIERITADI.
2026-08-16 00:52:52
6
laafa.gumia
Laafa Gumia :
wacheni fitna na uwongo kwa kusingizia dini kwa kua hamja pata fursa ya kualikwa laiti mnge alikwa pia mnge kua wa kwanza kuhudhuria. Sheria inao tumika ni katiba ya nchi si ya dini fulani sababu kenya ni nchi ya dini na waumini tofauti, mbona mzinifu & mwizi muislamu hahukimiwa kutumia sheria ya dini na mume nyamazia kama kweli mna ongea ukweli si fitna? Punguzeni fitna hamjui maana ku ritadi
2026-08-16 10:39:02
2
abuuhawaa
Abuuaisha :
UONGO MTUPU 😁😁😁
2026-08-16 13:39:53
2
hassanbinsaidi
🅗🅐🅢🅢🅐🅝 :
Assalamu alaikum warahmatullahi wabarakatuh ndugu zetu Allah awalipe kheri kwa kazi kubwa munayoifanya kiukweli nyiny mwaongea ukweli ila kuna wajinga wasiokua hawajui dini hawajui tauhid yao ila mtu kakaa kipaumbele kusema nyiny ni waongo mimi naona kama mtu anaona nyiny ni waongo waje na hoja na dalili kama nyiny mulivokuja na dalili nd yale yale yaliomkuta sheikh wetu rogo Allah amrehemu
2026-08-16 15:20:03
1
seif.abdallah61
SEif ABdallah :
tatizo bahasha ya hela
2026-08-15 16:49:41
5
musa.omar70
Musa Omar :
jamani someni Quran vizuri tumeambiwa tumtwii Allah na mtume wake wal amri minnkum haikutaja kafiri wala muislamu
2026-08-17 16:27:53
1
user1054812392700
Dr. Ibrahim Wainaina. :
Kwenye hio list, Maimamu na Masheikh walikua wachache sana, wengi ni wale waliambiwa tu wavae makanzu waende wakapate bahasha. Mm simuungi huyo Ruto ila hilo la kusema eti mtu akienda huko ni kuritadi sio kweli, ni Fat'wa batili.
2026-08-17 07:29:28
2
abdulrahman_ali_ahmed
Dumerno :
sahihi kabisa ndugu.. Allah asema ..laa tattakhidhu aduwwi Wa aduwwakum auliyaaa
2026-08-17 04:06:38
0
salim.majinika
salim majinika :
mko sahihi Braza
2026-08-15 18:27:00
6
user1433681272810
Muu hassan :
شروط التكفير ثلاثة وهي خاصة للعلماء وهي العلم ,الختيار , التاويل وكذالك الكفر بحكم بغير ما انزل الله يكون بتجويز حكم الطاغوت وتسويتها بحكم الله
2026-08-17 04:49:40
0
user8162583855393
Muhammad fundi simu :
mbona mnakufurisha watu?
2026-08-18 09:03:51
2
bin.aliy3
Mus'ab ibn Umeir[RA] :
subhaanallah
2026-08-15 16:02:58
2
mumbere.abdulahi
Mumbere Abdulahi :
Kwaninyimunaishiwapi
2026-08-16 19:31:30
1
rashid.musa04
Rashid Musa :
kasomeni
2026-08-16 17:21:37
1
ustadhmuha
muhammadmusa :
wacheni wivu.
2026-08-16 08:08:30
1
faqrudinahmed
sir Ahmed :
Allah
2026-08-15 16:55:01
1
mwinyiali140
Mwinyi Ali :
hio iko wazi hata hutba za swala ya ijumaa uwa nj porojo pwani yote .
2026-08-17 07:34:04
1
aminasudi38
Aminasudi :
🤣Uongo mtupu ........lies!!!!
2026-08-16 06:17:20
1
user83211565493722
kuta za juu :
hii ni comedy au?? 😁😁😁
2026-08-16 06:02:11
1
scherrox
Africa Twin :
aaaaaaa wapi
2026-09-06 14:26:24
0
abdullwahid5054
abdullwahid5054 :
Allah akbar
2026-08-21 05:27:32
0
user4697929057168
user4697929057168 :
☝️☝️☝️Allah akbar
2026-08-25 12:01:54
0
abulabbas791
أبو العباس :
fikrah za rogo ndio imeanza Tena baada ya kuisha
2026-08-19 23:51:16
0
abu_hafidha
Abu hàfidhah :
allahu AKBAR
2026-08-15 20:18:18
0
To see more videos from user @abuhaliimah2, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About