mshaambiwa zaman maulid ni bidaa sasa mwasikitika nini ...maulid si katika ibada kwa hio kila kitu kitaengezeka
2026-08-16 08:48:40
13
Amido :
Bidaa haina kikomo, dawa ya bidaa ni kuwacha kabisaa. Ukishaianza haina kikomo, hauwezi tena ku control kwa sababu haina msingi kwenye dini, kila mtu atakuwa yuwafanya anavotaka. Maulidi ni bidaa na haina guidelines na hii ndio khatari ambao ndugu zetu hawaoni. Kama twaona haya kwa sasa, tutaona vituko zaidi kwa vizazi vinavokuja
2026-08-16 11:01:48
3
AMBASSADOR123🥰 :
wewe ni huyu ama 🤔🤔🤔🤔
2026-08-16 14:19:40
8
hudheyfa :
لقد فتحتم الباب
2026-08-16 15:08:03
3
yusuf barasa :
tunajidai kumpenda mtume wakat tukimuhalifu kw vitendo inaskitisha sna wallah
2026-08-16 14:30:50
2
Mosram360 :
dooh mbna mapema hv?
2026-08-18 01:39:11
1
HM :
Sasa hiyo siyo samai hiyo ni taarabu
2026-08-17 22:27:24
1
Yuzaseef :
mziki na ala zake ni haramu
2026-08-16 11:18:54
4
awnaka ya rab :
ust said umesema kweli kabisa
2026-08-17 16:03:56
1
UZA_ULE and 13456 others :
2026-08-16 11:03:16
0
A :
الحق قلت
2026-08-16 11:21:32
2
ummu ridhwan :
subhanallah subhanallah subhanallah
2026-08-16 12:27:35
1
alweeyer abherz :
Twari pia hakuna la wanaume
2026-08-17 12:29:11
1
user3339608454666 :
hapo usema kweli kabisa
2026-08-16 13:04:58
1
Nurdyn derek M001 :
uswahili Kuna mambo
2026-08-17 10:45:54
1
Abeid :
umeanza kuamka sasa
2026-08-16 14:54:35
1
kassimabubakar3 :
ustadh Leo umesema ukweli kabisa hakukosekani fikra mbovu na uwasharati
2026-08-16 14:19:01
1
💯Abuu Quhafaa😊 :
Allaah Tuongoze Yaa Rabb 🤲
2026-08-16 06:50:13
3
mwakuchi1234 :
panapo koseka watu waambiane najua wengine watakuchukia lkn lazima watu waekane sawa big up broo
2026-08-17 12:52:11
1
Aaaalan :
Sheikh umeongea ukweli kabisa. Sisi Sisi ndio twachafua
2026-08-17 16:32:20
0
babhalo :
kama si maulidi ni nini...?😃
2026-08-17 03:12:35
1
Çhûî 00¹ :
Sasa Samai na taarabu inatafauti Gani
2026-08-16 13:15:40
3
To see more videos from user @naupenda.uislam, please go to the Tikwm
homepage.