sheikh kaingea bn maulid kwanza sema ndo hivo tuuuu maana kama asili ya Ibadan yeyote ni Haram had ipatikane ayaa sasa maulid hata kwenye Quran haijatajwa na mtume Wala haijui hyo maulid sawa je kumswalia mtumeee Kuna miez maalum au ni wakat wowotee mmmh hapana kwakweli mm maulid kusoma naweza ila nulipojifikilia weee niliacha kabc na sishabikiii kabc
2026-08-17 00:14:12
3
Mariam Mataka :
Mimi maulidi basi Nimeelimika kupitia tv. Imaani Mahacni Africa tv Kila la. kheri mashekhe wote wa ki nsaal Sunna Al jamaa Nawapenda wote kwa ajili ya. Allah
2026-08-17 12:55:43
5
Abuu Ahmad ☝️🕋 :
hawa huwa nimachiz maulid Allah atunusra nahili🤲
2026-08-17 05:00:59
1
no one :
mashallah
yaan kuna vitu ata akili yenyewe automatic inagoma kabsa
2026-08-17 07:57:09
3
Musa Ayub :
mimi kwaheri maulidi siwezi hata udhuria yanapo fanyiwa audhubillahi
2026-08-17 08:45:09
1
Dr Abu Fathma Omori A. Mufti :
na pia watueleze nguzo za Maulidi kama sio wali na twari
Mauludi ni uzushi na ni upotovu mkubwa na inaelekeza kwenye moto
2026-08-17 04:57:39
3
Mr KG :
Hayo sio Maulidi hiyo ni sherehe ya arusi
2026-08-16 18:16:52
0
Hakeem bin Hizam :
أحسنوا استقبال هذا الشهر الكريم فيه ولد خير البشر محمد بن عبد الله صلى الله عليه وسلم
2026-08-16 21:34:28
0
Mr Khalid :
Astaghfirullah
2026-08-17 07:10:47
0
Ahmed baasaas :
hivi kweli mtume s.a.w. amezaliwa tarehe 12 mwaka watembo?.
2026-08-17 16:39:48
0
ramadhanialama8 :
kumswalia Mtume hakuna Hadith zinazoelezea hilo
2026-08-17 21:54:56
0
Abuusalman :
hawana jibu, Kila SIKU wanakuja na dalili mpya.
2026-08-17 14:36:54
0
ibrahim anafii :
ila maisha haya allaha atunusulu
2026-08-17 11:47:17
1
Barackbasala :
Hi style ya maulidi nimakosa ndugu zangu, ina niuma sana na inasikitisha kama waislamu. tumsifu mtume wetu Muhammad kwa uziri my brothers
2026-08-17 21:49:21
0
kansase :
akhy
tupe maswali yote
2026-08-16 16:58:45
0
Ahmed baasaas :
maulidi yalianzishwa nakundi ambalo walikua wamejiita niwajukuu wa fatma wakajiita fatmia.. wameamua kuwaiga manasara kwakupanga kwao tarehe yakuzaliwa kwa yesu, nawao wakaiga wakapanga tarehe 12 mfungo 6 yakila mwaka.. je nahii kufunga siku ya j'3 inatambulika kama nini?. tuisome historia inayohusu maulidi ilizushwa nawatu gani...
2026-08-17 16:36:25
0
Zangul Emedy :
😳Eeeh
2026-08-17 10:18:10
0
shukrisinan :
2026-08-16 18:54:38
0
Misssexy :
Astafiruallah
2026-08-17 10:19:14
0
Dr. Ashraf Ramzy Al Ginawy :
ALLAH AWAONGOZE
2026-08-18 08:22:40
0
shukrisinan :
2026-08-16 18:55:10
0
user1635346993680 :
sheigh ongelea usgoga na mpila maulidi upati zambi
2026-08-17 04:10:16
0
shukrisinan :
2026-08-16 18:52:38
0
To see more videos from user @naupenda.uislam, please go to the Tikwm
homepage.