@mzeewamastory: Kama wewe ni fundi ujenzi, fundi rangi wa nyumba au mhandisi, hii video inakuhusu. Tazama mpaka mwisho.#FYP #Viral #TikTok #ForYou #trending
kwakipimo icho hatoki mtu mna injinia hkamati bati
2026-08-17 06:30:13
70
Damasjnta58 :
Unajua ukupiga plaster baada ya kufuta kabisa na kibao unachukua rati unabuluza ukuta mzima ya kulala na kusimama baada ya apo usipitishe tena kibao acha ivo ivo afu aje na kitaa chake apo hanikamati hata akija usiku hataona makunyanzi ukutani kama huamini nipe kazi na hela nitayotaka unipe ivo ivo
2026-08-17 12:05:49
14
mwanaa❤️😍 :
sirudiii kujengee 😁😂 makosaa umetafuta kwa tochiii kwelii🙌🙌🙌😭nehiiii
2026-08-17 19:24:23
23
skyarts :
kwahiyo itabomolewa ianze upya au?
2026-08-17 18:36:48
3
Sebastian Masaka :
ikikaa vzr kwa macho hakuna shida, watumiaji hatumii taa
iliniludi kazini anitafutie tochi ya kujengea makosa yanapimwa na rada kweli
2026-08-18 03:16:01
1
Berrydrago :
hio haisaidii chochote kabisa
2026-08-17 09:06:38
2
ibrahimamossy :
nipe kazi hiyo ya finishing nikufanyie nikimaliza njoo na hicho kipimo chako ukiona hyo kasoro usinilipe,shida mabosi waliowengi huwa hawaangalii quarity wanachotaka wao mafundu wa mserereko
2026-08-18 14:21:49
0
capricongirl255 :
Sasa hiyo migongo watu wata anguka au wana ishi
2026-08-17 18:11:58
3
Omary Sosha (Mr maiki) :
Yaan kosa ulitafute kwa Toch alafu uniambie norudie kujenga aisee tutapigana mpaka asubuh🤣🤣
2026-08-17 22:24:16
1
Sureboy Nassir :
kwani mnaishi milele
2026-08-17 10:20:56
0
Ishaasulesh :
boraa nyumba jmani😂😂
2026-08-17 10:00:22
0
سكوفيل :
aya shida iko wap sasa ,kwamba hutalala
2026-08-17 12:17:18
0
engineer :
ikisha nyooka sana inasaidia nini
2026-08-17 14:16:35
1
saadimchume :
tatizo mabosi mnapenda vitu Bei ya mteremko na pia wapo ambao Kila mtu na hali yake ya kipato ivo usitake kufananisha nyumba ya tajiri na kayumba
2026-08-17 14:19:07
2
fadhilismile1 :
sasa shida ikowapi mbona nyumba uswailini zinaufa kabisa na tunaishi sembuse kupinda plasta
2026-08-17 14:00:24
2
Benard Boaz :
Kwani watu wanaishi au hawaishi?
2026-08-17 10:01:20
2
John Ngabana :
ndio maana ata gari inapgwa puti....mpk ina kua smooth....
2026-08-17 06:57:07
5
Dr 유수프 yusuph :
hhh
2026-08-16 22:20:55
1
jy4 :
Kazini kwa mafudi kunakazi
2026-08-17 08:37:05
1
Bongo connection :
Kwan anajenga mtu au machine
2026-08-17 08:29:27
1
To see more videos from user @mzeewamastory, please go to the Tikwm
homepage.