@mansamussaxivcom: Biashara 10 Zinazolipa Tanzania…👇🏽 Kuna “uhalifu” mkubwa unaendelea Tanzania…😅 Haiwezekani nchi ina fursa nyingi hivi, halafu kila siku watu wanasema hakuna biashara za kufanya, hakuna opportunities na hakuna namna ya kutengeneza pesa. Tatizo ni kwamba wengi wakisikia neno biashara, akili inaenda moja kwa moja kwenye boutique, restaurant, salon, kuuza simu au biashara nyingine ambazo zinaonekana vizuri kwenye Instagram. Lakini ukweli ni huu: Biashara yenye show off nyingi sio lazima ndiyo yenye pesa nyingi. Mara nyingi pesa iko kwenye vitu ambavyo watu wengine wanaona ni vidogo, boring au havina status. Kusafisha ofisi. Kufua mashuka ya Airbnb na hotels. Maintenance ya apartments. Kusupply bidhaa kwenye offices. Bookkeeping. Content kwa biashara ndogo. Hizi sio biashara ambazo kila mtu atakupongeza ukisema umeanza. Lakini kama zinatatua tatizo ambalo mteja analo kila wiki au kila mwezi, hapo ndipo opportunity kubwa inaweza kuwa. Kwa mfano, cleaning business inaweza kuonekana simple sana. Lakini ukipata offices 5 zinazokulipa kila mwezi, hauuzi tena “usafi” tu unaanza kujenga recurring revenue. Na laundry nayo sio lazima uwe unasubiri mtu mmoja aje na mashati yake manne. 😂 Unaweza kulenga salons, spas, gyms, restaurants, apartments, guest houses na Airbnb ambazo zinahitaji towels, sheets na uniforms zisafishwe tena na tena. Hapo ndipo mchezo unabadilika. Ujumbe wangu ni mmoja: Usitafute tu biashara inayopendeza. Tafuta tatizo ambalo watu wako tayari kulipia ili litatuliwe. Na kama changamoto yako ni kuona opportunities za kutengeneza pesa ambazo wengine wanazipita kila siku, nimeandika kitabu kinaitwa “Siri 69 za Kupata Pesa.” Ndani yake nimeweka ideas na principles zitakazokusaidia kuanza kuangalia pesa na opportunities kwa jicho tofauti. Link ipo kwenye bio yangu …chukua copy yako. 📖🔥 Wengine tayari wameshasanuka na wanafanya hizi biashara lowkey kabisa. Walio na njaa na pesa hii biashara wanaikamia fresh tu… Aibu utaona wewe. 😂🔥 Full video ipo YouTube: “Biashara 10 Zinazolipa Tanzania… Unaweza Kuanza Bila Pesa!” #BiasharaTanzania #Ujasiriamali #Entrepreneurship #BusinessTanzania #TanzaniaBusiness

Mussa Baba’s
Mussa Baba’s
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 16 August 2026 15:04:26 GMT
62425
2731
84
166

Music

Download

Comments

troll..007
troll..007 :
skip hadi 1:50
2026-08-17 12:56:04
22
yyy57059
yyy :
ukitaka ufilisike haraka ingia kwenye biashara ya usafi 😅😅
2026-08-17 00:58:58
15
ahilyprime2
Ahily Prime :
ukimaliza waonyeshe na mtaji(generally include tools) na connections wanatoa wap
2026-08-16 17:08:12
12
kitonga_gx
KITONGA Gx :
hakuna kazi nyepesi duniani kama kushauri😂
2026-08-18 06:25:50
8
issa.abdallah7
Issa Abdallah :
pesa nyingi zpo kwenye wizi na utapeli
2026-08-18 08:26:44
6
suleimansalim15
Suleiman salim :
Hopeless
2026-08-20 20:56:27
0
lgm.pro
LGM PRO :
maneno meeengi facts zero
2026-08-18 12:36:18
0
hendryshayo
Mr Hendry😎🦅 :
maneno mengi mkuu nenda kwenye point
2026-08-17 02:24:43
8
mon_cheery3
mon_cheery :
We bhn nenda kwneye point
2026-08-18 11:53:08
2
blvck_vsp
￴￴￴￴ :
Nice content lakini 70% unaelezea sijui vitu gani 20-30% ndo unaelezea hizo biashara 😂😂😂
2026-08-18 18:58:44
4
mte027
Mte :
Hakuna kisichohitaji pesa
2026-08-17 03:00:28
1
machupajr14
sAbRy :
wewe unafanya ipi??
2026-08-17 15:41:55
2
expensive_rilo0
RILO :
wewe umefanya .. saiv upo wap braza 😀😀🙌
2026-08-18 11:42:32
3
nicxon678
Nicxon :
wape kaz watu uonee😂
2026-08-16 21:04:42
6
mwanshingastore
mwanshinga 5 :
hizi ni biashara au Huduma ??? hawezi kuanza biashara bila mtaji labda uwe Dalali.
2026-08-17 06:53:06
0
wetravelclub_tz
We Travel Tanzania 🇹🇿 :
Intro ndefu kuliko burj khalifa 😅
2026-08-19 05:54:53
0
celly._.125
vibe_with_nerah❤️ :
unaongea sana, naenda straight kwenye point bro
2026-08-18 09:55:17
1
ahalanbinsnilliy2ayus
My Mother 👩 and me call ☎️🇹✔ :
sasa tangiya tanzania iundwe watu izo kazi wanafanya kinacho mata serikali wanamchango gani
2026-08-17 16:14:21
1
crits_dee
crheadboystrd07 :
Ongea haraka MB kbla hazjaisha
2026-08-16 16:12:59
3
user3355324915978
Abel :
akili mingiiii😁😁
2026-08-18 17:41:15
0
yenntzupdates_
Yenntz_Updates..📻🎙️💥 :
Sawww
2026-08-20 18:28:38
0
delaboss407
takeshi archipelago :
Dah thatha itakuwaje
2026-08-20 12:23:45
0
donsmallville007
Thomito :
mbona ametaja moja au sijaskia vizuri
2026-08-21 22:34:06
0
kimjr_official
kimjr :
unazunguka sana kaka
2026-08-19 22:10:39
0
To see more videos from user @mansamussaxivcom, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About