Ninachokupenndea ni kutoa dalili kutoka sunnatu nnabiyyi au kitabu cha allah na sio km wale wa suratul qadir🙏
2026-08-16 19:01:07
11
Nacky 🦋 :
ahsante kaka ALLAH atakulipa kwa baraka na rehma zake
2026-08-16 15:33:07
9
user5344985005080 :
nimchanga wowote ama mchanga wabaharini shukran Jaazakallah kheir
2026-08-16 18:36:19
1
Abuu Asma :
unawezakumfanyia mtu. mathalan mtoto? au asiyeweza kusoma maneno haya??
shukran!
2026-08-16 16:08:19
2
Mr. NEP (H+H) :
lau utakua......... hii naipenda
2026-08-17 15:21:06
0
thusal :
Allahumma Swali wasalim Aleih
2026-08-17 11:37:08
2
kidotynie🦋 :
2026-08-19 10:14:29
0
❤️❤️❤️tumu bby :
Ok ni sawa kumbe mtu wa nyumbani nko na swali naomba unijibu plz ukikaa ile tahiyatu ya mwisho unakalia mguu ama unaeza kaa kitako kabisa chi plz naomba jibu
2026-08-18 16:28:34
0
binti Amri :
je kwa mtu ambae kalala tu kitandani hajiwezi yafaa?