Bro hata ambao wako juu kwa Sasa kwenye hii industry walianza hivi hivi wengine umewapita kabisa, walianza wakiwa hawana vocal kali kama zako lakini saizi ndo wameteka soko, so MUNGU ni mwema kaka zidi kupambana mungu hamwachi mja wake, we can't force things to happen but it's matter of time bro.
Appreciate more🤝🤝 unajua sana🔥🔥🔥
2026-08-16 15:56:22
72
Charity 🥰💞 :
Mbn aupo audio mark
2026-08-25 11:15:35
1
Ibrah07 :
Hii ndo ile tnakula ugari na pcha ya samaki
2026-08-18 13:36:54
9
wynez_de.67 :
jst heart feeling 4rm kenya ....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💥💥💥🙏
2026-08-16 15:47:27
3
DM BONGO MOVIE :
Mungu mwema, juhudi zako ndio ujazo wa mafanikio yako,big up my brother
2026-08-17 07:32:51
16
flexible SarafinaTZ :
Wale ambao tunamuona kwa mara ya kwanza 🥰
2026-08-19 07:24:08
3
Platruger OG :
unajua san mwamba ongeza bidii
2026-08-17 21:31:18
1
k music wa 24 :
nouma mkal
2026-08-19 15:28:27
1
@Alno. :
Bro naomba mungu akutangulie na kipaji chako kionekane dunia nzima.
2026-08-18 06:33:38
5
Nedlog_tips :
The real feeling😔💔💔
2026-08-17 14:06:41
2
Paul July :
oya saruh akuwezi kabisa kaka
2026-08-23 20:14:48
1
sedo zwane Themba mshishi :
utafika kaka ali Kwame kaposti ili song💯
2026-08-16 19:53:46
2
fukafukabrandy :
hiii ngoma sichoki kuskilizaa dem wangu kazingua wadau daa😪😪
2026-08-25 18:34:36
1
Noble ✪ :
"siwezi ficha kikohozi, nikibanja watajua." Bro ana mistari konki🫡🫡🙌🙌
2026-08-18 12:18:32
4
user7596239149857 :
sasa huyu anataka anilize tena
2026-08-19 18:39:17
1
ir inno :
yo brow courage
2026-08-17 08:12:05
1
rasviwanja :
playlist yangu pendwa dogo weka ngoma
2026-08-17 16:31:32
1
joshuamichael :
Usichoke mwanngu we unajua sana sanaaaaaa muda tu utafika aiseee fundi sana wewe
2026-08-16 21:10:04
1
King mohan :
tumtagi konde humu naiskia verse yake
2026-08-18 10:39:55
4
💀👽Even Sound🇬🇭🇱🇷 :
@definer_tz!!Mtu mbaya💯Sikupingi kaka apa mapenzi tu mpaka yatu ue👊💥
2026-08-16 21:10:39
2
kitochi_🔦 :
🔥🔥🔥🔥
2026-08-17 12:09:29
2
papi :
definer. https://vt.tiktok.com/ZSVjwNTAj/
2026-08-17 10:07:31
1
Josd_Platvox :
niache na nipo sawa ni nyimbo zitakazoishi
2026-08-17 08:14:12
1
papi :
nyimbo zako zinanikosha sana. 🙏🙏
https://vt.tiktok.com/ZSVjwNTAj/
2026-08-17 10:09:24
1
Thiago Cantara :
unajua sana mwanangu usikate tamaa wakati wa mungu utafika nakuona kwenye namba moja kwenye bongo fervour
2026-08-16 20:41:28
1
To see more videos from user @itsdefiner, please go to the Tikwm
homepage.