Lailah aila anta subannah kain kuntu minal.dwaliminal aiseee hii duah onajibiwa haraka sana
2026-08-17 09:47:52
41
Mama yusra :
M nilikuw natesek mwanzon nilikuw nalia san ila nikapat mtu wakunishaur akaw ananiambia tuwe tunaamshan kuswali rak mbili usiku hat kam umechok vip wallah mpak sasa napedwa naishi nao kam ndugu saaa zingin wananambia usidek juu pumzika usipike leo pumzika wallah siamn kam ndo haw walokuw wakininyanyapaa mm khakika hakun kinacho shindikan kwa allah
2026-08-17 17:06:10
15
Smaiya Nasib :
yaan wala uongop mm nimefany hvy tena sio usiku nimeswali alfajir na sala ya saa 7 mchana nikisujud pale ndio naisom wallah jaman usiku naambiwa habr za ticket yaan kiukweli.mungu anajib kwa wakat hii dua kiboko 🤲🤲🤲
2026-08-17 07:33:49
16
Nashukuru nilivyo :
dada mm nimeipenda hii ila sijui kuisoma
2026-08-17 10:14:21
2
ummy Nasser 😘 🇹🇿 🇶🇦 💞🙏 :
Shukran sana mungu akuhifadhi
2026-08-18 15:22:05
1
Didaa love smart##🇰🇪🇸🇦 :
twatamani kweli lakini wengine kama sisi atujuwi Yani ata nikijaribu ulimi wangu nimzito wallah tena😭😭😭
2026-08-19 10:02:11
4
my tiger :
Allah akulip Dada yang kwadua
2026-08-17 11:10:00
3
Aminah999 Aminah999 :
walay dadangu kama umeniona usiku wa Jana likua nishafutwa kazi narudishwa kwetu lkn walay mungu iwasikia na iwajibu😭😭😭alhamdhulilah 🤲🤲🤲Sina budi kumshukuru Allah
2026-08-17 07:38:14
5
ukhty zaitun :
ahsante dad hasna allaha akujaze Kher lnshaaallah
2026-08-17 05:43:11
6
🇹🇿🙏🙏🙏📍 :
kila nikisema nitaswali usiku najikuta alifariki ndo nashutuka
2026-08-18 05:34:17
1
𝒇𝒊𝒈𝒉𝒕𝒆𝒓 𝒈𝒊𝒓𝒍🦋🌺 :
mashalla, mi naomba iyo duwa ya pili ipo kwenye sura gani Aya ya ngapi pls🥰🥰🙏🙏
2026-08-17 20:15:20
2
Binti :
walku msalamu waramatullah wabarakatu twamuomba ya Allah apokee duwa zetu ya Rahbi 🙏❤️
2026-08-19 01:37:42
1
ummu khalifa :
LA ILAHA ILLA ANTA SUBHANAKA INNY KUNTU MINA DHWALIMIN.
2026-08-17 08:48:44
8
Ukhut Love :
Mi Naomba kuuliza Nami Nipo huku Kwenye suara La Kuswali Mimi Huwa Naunga Swala Mbili mbili Mafano Dhuhuri na Arasil Je Nafanya makosa Nikutokana na Kazi Zetu Hizi Naombeni Jibu 🙏
2026-08-17 09:35:23
0
NASRA GIGO :
mashallah
2026-08-17 09:20:40
1
Mdoe :
Mashaallah
2026-08-17 09:53:08
1
Mrsp❤️s :
Je nikiswali lakaa mbili na nikasoma dua zote mbili si inawezekana au mpaka niswali mara mbili zote?
2026-08-18 08:50:54
1
Maryam Ali :
wengine wetu hiyo usiku was name ndo tunaenda kulala
2026-08-18 16:56:51
2
Baiheart :
penda shana ww❤💓
2026-08-17 12:53:51
1
Zulfa Hassan373 :
Shukran dada kwa ukumbusho
2026-08-17 14:30:21
1
rayyan🥰🥰🥰 :
kweli kabisa nna ushuhuda jaman🥰🥰🥰🥰
2026-08-17 18:27:08
2
To see more videos from user @hasnaaa644, please go to the Tikwm
homepage.