@soga.za.diaspora: Je unatambua kuna vitu huwa tunafanya kila siku bila kufikiri lakini ni kasumba za kibaguzi kwa wageni? Binafsi nimejifunza mengi toka kwa @tovuti kupitia @mambopod juu ya Ubaguzi, haswa wa Watanzania kwa wageni. Ukishaziona kasumba hizi hutoacha kuzitambua kila zinapojitokeza. Tazama episode nzima YouTube, link iko kwenye bio. #sogazadiaspora #mambovipipodcast #ubaguzi #racism #denmark🇩🇰 @Mambo Vipi Podcast @Heisenberg_ @Serene.Roads
Huo sio ubaguzi #ubaguzi mtu hata hakuuzii bidhaayake
2026-08-17 14:16:50
2
Akwilina Mbaza :
lamini kujifanya wanaupendi nyumbani ni wimbo wa taifa lakini ni tifauti matendo tuombe mungu wabadilike
2026-08-18 07:09:36
0
BiG_Tz :
kweli aisee bongo sisi ni wabaguzi sana kwanza kumuita mtu mweusi mzungu ni ubaguzi ila mtu mweusi akiitwa black ni kelele
2026-08-18 03:40:11
0
Hussein Daud🇹🇿🇨🇭 :
Oya...nimekaa hapa Zürich, Switzerland lakini sijakutana na ubaguzi wa aina yoyote. Na ni zaid ya miaka 7 sasahv niko hapa
2026-08-18 07:08:25
0
jackson chacha :
io kweli
2026-08-18 00:04:29
0
Akwilina Mbaza :
🥰🥰🥰🥰🥰🥰 kaka nimekupenda wazungu hawana ubaguzi nilienda kununu roli wakanionyesha maloli mabovu kumbe Kuna mazuri wameyqfungia yadi nyingine kaka umeongea
2026-08-18 07:04:35
0
Dully Brown :
hata wazanazibar huita watu wa bara vichogo,waislam wengi huita wakristo makafiri ubaguzi wa kidini ,mimi mwenyewe wanaitaga mwarabu koko ila atokee mtu mwaupe kamdhihaki mweusi utaitwa mbaguzi 👍👍watu weusi hupenda kulalamika
2026-08-18 06:31:58
2
Mjuba Chuga :
ubaguzi siyo uo ubaguzi ni
chuki ya rangi
ukabila
Ukanda
ukoo
mtu mweusi Ana amini mtu mweupe anauwezo kuliko mmweusi
so ukimtajia bei kubwa bado kwake anaona ni ndogo kulinganisha na kwao
2026-08-18 04:49:00
1
black wings :
kuziwa kitu kwa bei ya juuu siyo ubaguzi asipotoshe wtu nilitegemea ulivyokuja na huyo mkeo hamkuoew huduma hapo saw ila kisa umzidishiw bei mbona hyo kaaid sisi wenyew tunazidishiw bei au wasanii wetu wanazidishiw bei sana au watu malufu au sehemu ambayo ipo juu kimaisha bei zake haziwez kua saw na sehemu za kawaida sema jamaa ni maskin th
2026-08-18 06:45:43
0
Noveae :
Acha ujinga bhn, issue ya bei sio ubaguzi kwa sababu haiangalii kama mheni ni mzungu au mchina au mwafrika, kikubwa ni mtu wa nchi nyingine. Racial discrimination inaongelea race....sasa mkenya tu anaweza kuongezewa bei pengine kwa sababu hajui. Kitu ambacho hata kwa sisi wenyeji wakijua unatikea mkoani, kwa mawinga wa lariakoo umeisha.
2026-08-18 07:29:44
0
alfattaah_perfumes@$ :
swal labei unajua nin wao wanatuon sis maskin ko nasis tuna wachukulia kam wanapesa ko kinatokea kitu kam hich
2026-08-18 08:05:58
0
fahimdigno :
Wazungi wahindi waarabu tunajua kuhusu ilo ila tunajua jinsi ya kukabiliana nao
2026-08-18 07:37:00
0
Abzo 2732 🕸️🐾 :
😂😂😂
2026-08-18 06:22:40
0
To see more videos from user @soga.za.diaspora, please go to the Tikwm
homepage.