waacheeni advice mingi kila mtu afate maisha yake...
2026-08-18 10:47:29
5
Baenana🌺 official :
mimi mwanaume wangu alinioa ndio tukafanya mengine but baada ya kunioa tu kaanza kunidharau mwisho akaniacha na kurudi kwa ex wake.... kaniambia nakuacha sababu sikupend 🥺😂😂.... kifupi definition ya wanaume aijulikan omba tu mungu sio maushaur yen 👌👌😁
2026-08-18 09:12:28
27
njugush :
I agree...word of the day
2026-08-18 01:29:52
1
Abuu Mbaruku :
Acha uongo mbona mke wangu nime mbikir kwa kumzin na nikamuowa apa tuna miaka 16 kwenye ndoa
2026-08-18 03:49:48
28
blossom00blossom :
Hmmm zamanii dada sio sahiiii😂😂😂😂😂 wangapi waolewa washatobolewa na vi boyfriend zao
2026-08-17 10:33:20
66
Aisha Mohammed ❤️ :
point taken 👌
2026-08-17 15:38:36
0
MATILDA💕NIHAT :
Asante my dear
2026-08-17 16:32:18
2
Karim Dula :
that's true
2026-08-18 13:46:16
0
Nuur hijab collection :
Mliopo kwene ndoa muwe mnatuombea 😂😂😂
2026-08-17 17:29:14
37
Miriam Lugano :
sio kwa kizazi hiki aut kama anakupenda hata adhini nawewe atakuoa TU ila kama hakupendi atadhini nawewe na anakuacha
watu wameanza toka wapi shule ya msingi wamezini mpaka basi nawakaowana japo sio wote kwahiyo nimipango ya mungu kama sio wako hata usipodhini au udhini hawezi kuwa...✍️
2026-08-18 10:30:30
5
Prettyyasmin :
asante studio
2026-08-17 09:22:03
29
Muna🇸🇴🇰🇪 :
Mm mwanaume akiniambia tuzini immediately nampiga mblock ya........... it's my nature wallahi huwa najiuliza anataka kunichezea Je nitafaidika Nini au yy anafaidika Nini tunamuazi Allah tu Kwa uchafu wa dunia hapo nasema Bismillah block confirm delete Alhamdullilah
2026-08-17 14:44:49
35
madamsara7 :
Wakwangu ni me zini naye na uyo uyo amenioa ndoa na tuna watoto Sasa uyo mwanaume gani unaye mzungumzia
2026-08-17 13:08:29
12
goat :
😁😁😁 wew hyo ambae sikufany chochot nae tulikaa 3 yrs kwa shida nimekuja kuolewa na mtu kweny mahusian 3 yrs ndoa ina 10yrs usitudanyange bhana
2026-08-17 12:16:44
25
Abu Amir :
bora na wao wasiombe pesa tu mpaka tuwe kwenye ndoa inshallah
2026-08-18 04:20:20
8
Tresious🌹 :
ridhiki anatoa mungu jaman
2026-08-17 13:21:30
9
Bright Lady :
hakuna Maisha ya girlfriend and boyfriend kwa miaka 3 4 7 AaahSubutuu.....
2026-08-17 10:04:19
9
Yusra Juma :
sisi tulizini miaka 3.tukaoana rasmi..sai miaka 9....Alhamdulillah
2026-08-18 12:16:24
1
glad :
uko sayar ipi kwan
2026-08-18 14:19:11
1
To see more videos from user @thehijabyjournalist, please go to the Tikwm
homepage.