@ashmar_quotes: SUBRA HULETA KHERI. Kupata na kukosa ni vitu viwili tofauti, lakini vyote ni sehemu ya maisha. Usijione bora kuliko wengine unapopata, wala usikate tamaa unapokosa. Kila jambo lina wakati wake, na kila riziki ina muda wake ulioandikwa na Allah. Leo unaweza kuwa na, kesho ukakosa; na leo ukakosa, kesho ukapata. Muhimu ni kubaki mnyenyekevu unapopata na mwenye subira unapokosa. 🤍🤲✨#fy #contentcreator #lifetips #reallife #trendingvideo @TikTok @tiktok creators