Siwezi isahau ile ajali ilitokea pale makumira Karibu na chuo cha mshikamano Ngorika na Daladala ya Sharon.... Daladala ya Sharon inatokea USA na NGORIKA Ina Toka Arusha kwenda Dar... ilikuwa mida ya Asubuhi.. kwenye Daladala walikufa watu 19 na NGORIKA alikufa Dereva siwezi isahau kabisaa ilikuwa 2011 ... Dereva qa Ngorika aliteseka ... kwenye Daladala watu wanatoka ubongo tuu..
2026-08-18 18:13:13
11
Ferouz Masudi :
kulikua na chuma ya Ngorika Dar Arusha ilikua imendikwa Macedonia inaendeshwa na jamaa wa Tanga anaitwa Athumani Dodoa ile mashine ilikua inatembea ni balaa
2026-08-18 04:12:00
23
Madam Tabitha :
mmiliki ni mberesero tulikua tunakaamae kijiji kimoja
2026-08-18 10:33:40
2
chikimchoma :
Dereva kinara wa mwendo na makini kabisa wa Ngorika aliitwa MANYAU, bila huyo sijapanda Ngorika, kuna siku nikitoka nayo Moshi saa 12 tukaingia Dar saa 7:30 mchana, MANYAU popote ulipo Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu.
2026-08-18 15:45:12
13
mshitu :
ngorika bado zipo n jina tu limebadilishwa.... kimotco, mberesero,kaprikon n.k
2026-08-18 03:33:24
8
Gagne ☺ :
mwamba wa kisangara dereva matata Marehemu Kingwamba alikuwa mwamba kweli kweli kama unamkumbuka mwamba Kingwamba like hapa
2026-08-19 17:29:07
10
Edwin :
hizo basi zilikuwa zinatoka mbeya moshi
2026-08-18 03:24:52
2
George Boniface :
ngorika kama ngorika zilikuwa za Moto sana... ila inasemekana ngorika kwasasa ndo kapricon japo Sina uwakika
2026-08-18 02:40:42
6
💍Pînk* 🦋 Lovely💎🧸🍃 :
Nilikua ñapenda hili gari mimi mpk leo siachii kulitajaa😂😂Ngorika sai baba Buffalo àlooh yalikua magari yangu pendwa 🙌
2026-08-24 09:23:14
1
Jumah Mohamedi68 :
🤣🤣Saka Saka bus zote zilizotangulia zitapitwa njiani saa 7:30 Arusha
2026-08-24 10:25:45
2
mr swai98 :
hizo chuma Zina nikumbusha kipindi hicho 2004 tupo shamban kwenye palizi ikipita hiyo chuma tunambiwa saa SITA tayar muda wa kula alooo zinatembea hatar😁
2026-08-20 17:47:12
6
chagaaah :
kulikuw na ngorika inaitaa masogang
2026-08-18 04:48:43
2
irenetarimo677 :
lilikuwa linakimbia sana
2026-08-20 04:17:26
1
KE STAR WIZ :
ngorika sito isahau Tang - Arusha
2026-08-18 10:54:16
1
Happy J Mongi :
sqa nane tu ipo arusha ilikuwa inapepea
2026-08-20 10:33:43
1
Doris Ngowi :
nilikuwa natoka moshi saa 12 nafika dar sita mchana duuu
2026-08-19 13:46:31
2
user19509834469570 :
kweli bhana
2026-08-18 02:43:15
2
Bobo :
Hahaha mwamba kabisa huyu
2026-08-18 11:34:36
1
Renalda Mbise :
Ngorikaaaa napajuaa 😁😁😁
2026-08-17 21:22:14
2
fadhilmsechu :
mwendo kasongo🥰🥰🥰
2026-08-22 12:54:13
1
Ally tz :
kuna ngorika ilkua kipis dereva wake alkua anaitw athuman kila sku alkua wa kwnza kufika moshi
2026-08-23 12:47:59
1
Imanuel Matei :
mim nimepanda gorika buffalo zilikua zna shinning sana😂😅🥰
2026-08-22 20:41:43
1
Bosco_temba :
bus langu kipindi nasoma primary olevel Moshi 2002-2011 aise hii chuma masaa daima!
2026-08-22 19:51:05
1
MASTER PLAN :
kisangara mabegani ngorika
2026-08-24 20:53:53
1
To see more videos from user @beyond_cars1, please go to the Tikwm
homepage.