@tanzanialuxury111: ZITATOSHA KWELI HIZI CHUMA #fypシ゚viral #fyppppppppppppppppppppppp#fyp #foryou #tanzania

prince official 💯
prince official 💯
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 17 August 2026 10:54:32 GMT
27261
824
70
21

Music

Download

Comments

tiffah09
Tiffah🧕🏼🤑🇹🇿🤎 :
ila kumuelewesha mtz kazi sana STAND SIO PARKING😁😁😁
2026-08-18 04:07:25
8
waziri191
wazir@ :
yan kuna mabasi zaid ya 2000 yataenea kweli hapo mbez
2026-08-18 03:44:20
2
heartful202
heartful202 :
Hio ni stendi sio parking. Mabasi yanapaki kwenye Yard. Ila wakija kuanza safar wanaenda Magufuli. Na sio kwamba muda wote basi zinapaki tu. Asilimia 80 ya mabasi yanakua njiani na yard asilimia 20 tu yanakua magufuli. Kwaio acheni kupotosha watu
2026-08-18 04:39:39
2
user9242014309995
mustaphar freedom :
nishida
2026-08-17 19:19:42
0
silent_king803
silent_king :
Hiyo mbezi gani ama sio kule magufuli
2026-08-17 20:21:17
0
yusuphmpenja
engineer :
kinachopiganiwa ni ushuru wa stendi na sio kumsaidia mtanzania
2026-08-18 04:37:30
1
cairomjimkuu
3333 :
tilisho na esta wamegoma siyo
2026-08-18 05:30:50
0
stayfocus029
Mr stayfocus029 :
patishe pasitoshe gari lazima ziishie stend ya magufuli...Tunataka stend ichangamke watu wapate risk
2026-08-18 05:33:45
0
tatu.hamza1
Tatu Hamza :
jaman watatutesa abiria wenye kipato Cha chini waache kama ilivyo wapakie kokote lakini waingie magufuli wakalipe ushuru basi
2026-08-18 02:42:14
0
kalikali7139
Kalikali :
hapatoshi😅😅😅kabisa
2026-08-18 14:34:11
0
rajabally1
rogous :
weka gari mbezi zote hata zikiwa b,kama stend za dharura kuna kibali maarum sio kujipangia
2026-08-17 18:09:44
1
dullah_decoration
dullah_decoration :
Bado shabiby
2026-08-17 17:59:25
1
j_kilawe
Jackson :
haziwezi tosha kwakweli
2026-08-18 05:47:20
0
kiamdutz
kiamdutz :
pakija kuwaka moto hapo matajir woote wazimie? wanataka nini jaman watu wanalinda mali zao kwa kujitenga mbali mbali
2026-08-18 07:45:19
0
wizzy.khalfa50
wizzy khalfa :
bd abood
2026-08-18 06:51:59
0
tysondickson2
The best Liamjr :
gar zote ztatosha
2026-08-17 20:16:47
0
kalikali7139
Kalikali :
inatakiwa kuwa na ofis mbili
2026-08-18 14:35:46
0
faustine_laurent
MenDontlie :
bado shabiby😄😃
2026-08-18 04:25:33
0
emmanuelivan866
@ivanboy863 :
Bm atuleti gari mbez
2026-08-18 00:37:02
0
savimbi001
Savimbi001~ :
acha hizo wew,,kwani zinashinda na kukesha hapo?,,
2026-08-18 03:58:15
1
felician.mayalla
Felician Mayalla :
katarama bado
2026-08-17 16:21:12
1
user34069679290611
Salim@17 :
kweli kaka nakubali kesho tar 18 tuko shekilango pale mambo ya siwe mengi vyuma bado vinaingia tu
2026-08-17 13:09:24
1
shofeli1
Shofeli :
wanao hoji gari zitatosha Magufuli nawaona wote ni maandazi maana magufuli aliejenga hio stand alikua anajua kwamba basi ni nyingi na bado akajenga asa wewe unataka stand ivunjwe au
2026-08-17 19:49:54
1
shinotee14
SHINOTEE👑✌️ :
chalamila ni ndugu yangu na Mimi ni shabiki yake mkuu lakini ni mtu wa kukulupuka sana
2026-08-18 06:18:06
0
eddy.yusuf4
Eddy Yusuf :
si ndyo wanavyotaka wenye mkoa wao!! bas acha tufanye watakavyo ili wafahamu changamoto tuliyokuw tunaikwepa hapo mbezi.
2026-08-18 06:35:34
0
To see more videos from user @tanzanialuxury111, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About