😂😂😂😂😂kuna mtu nilichat nae tikitok akaanza kuniuliza maswali mengi akauliza nipo wapi nikajibu Arusha akaniambia karibu dar nikamjibu...Dar ndio kwetu nimezsliwa muhimbili nimekulia ilala bungni nimesomea Mailimoja kibaha pwani Maisha yng ya kujitegemea nilianzia kijitonyama Huku Arusha ndio kwanza nina miaka miwili nina watoto wailing wote wa kike kabila langu mngoni kwa baba Mtanga kwa Mama nimeolewa jamaa alicheka sana akaishia kuguna tangu siku hiyo hajawahi kunitafuta tena
2026-08-18 14:26:16
31
miss mummy :
ukiingia TikTok hata ukiwa na madeni unasahau yote
2026-09-10 13:04:47
13
Dastan Cyprian :
Me ndomana nimefuta tiktok toka juziiii🤣🤣🤣
2026-09-10 15:26:51
3
Mwansasu daughter :
ila huju kuna raha jaman😂😂😂
2026-09-10 11:46:53
2
Qeenlady🌹🇹🇿 :
Ndio maana hatuolewi siku izi maan tunajieleza sanaaa
2026-08-19 09:47:14
5
official kemmy :
asante tarehe uliyonunua na mwez nd na mm nmezaliwa hvy hvy
2026-08-29 17:06:09
2
justifaefrahim :
yani ukiingia TikTok hata ukiwa na stress zinaisha zote maana
2026-09-10 08:57:22
1
mr smily :
2026-09-09 17:52:31
3
😺 kitty 🐈🐾❤️ :
nishapata njia ya kumkataa mtu haina aja ya kumwambia nampenzi ni kujizima akilu tu 😂😂
2026-09-06 07:32:18
1
Xarmin** :
Mmmmh mbona naona jina langu
2026-09-08 21:00:02
2
barak@ khan :
😁😁😁😁😁😁😁 nashindwa kuerewaa
2026-08-30 10:12:04
1
devotha💞 edward🫂 :
huyo ndo mm sasa nikilazimishwa kuongea😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
2026-08-29 07:23:38
4
violeth bonifas :
aaaaah,sawa
2026-09-03 11:21:34
1
miss happy :
mtume roho yangu 😁😁😁😁😁
2026-08-28 07:34:27
1
FACE CHANCE :
Kumbe Watu kama nyie bado mpo 😂🤣
2026-08-31 09:14:14
1
Niani🎀💞💖 :
mtume Muhammad
2026-08-20 14:48:00
9
eddieh113 :
Ndo maana na me nakerekaga mtu ukimjibu vzr tu yeye anasema unamjibu short 😂
2026-08-18 09:00:15
5
h@lima girl💫💫💞 :
hiyo haina comback🤣🤣🤣
2026-08-28 11:14:32
1
mwalimu :
Ila binadam ni mtu hatari sana
2026-09-10 18:12:24
1
mars🥰trent09 :
umesahau kutaja jina la movie
2026-09-09 17:16:01
2
Crazy man :
Xaw ban unajua kumjbu
2026-09-09 14:59:25
1
Mange :
Manina,
2026-08-17 18:15:01
0
To see more videos from user @merrykiss16, please go to the Tikwm
homepage.