@dancoopertz: mpaka hapo unajua tayari nishachelewa shule 😂😂#tanzaniantiktok🇹🇿 #RFA

Danny_malomo
Danny_malomo
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 17 August 2026 20:33:02 GMT
102552
4878
1037
1081

Music

Download

Comments

__carpaccio
__carpaccio :
hili beat limeni traumatize sana 🥹🥹
2026-08-18 04:32:48
16
dr.herman.hd
Herman HD :
hapo umeshachelewa shule. redio free Africa the sound of Africa
2026-08-18 03:36:46
645
nibretstudio
nibretstudio :
baaara baara kabisa hujambo mpenzi msikilizaji wa redio free Africa,imetimu saa 12 na nusu kwa saa za Africa mashariki..... karibu katika kipindi chako pendwa cha watanzania tuzungumze magazeti
2026-08-18 07:21:19
58
smallnilecroc
Ms_ no one😎 :
wakishua hawawezi kuelewa maumivu ya hili beat😂
2026-08-18 04:40:21
226
wilmixespro
wilmixespro :
Naam msikilizaji wa redio free afrika, imetimu saa 12 na nusu kwa saa za afrika mashariki, kipindi ni watanzania tuzungumze magazeti
2026-08-18 03:34:07
481
brobig34
Victor sweetbeat :
dah inshu za school monie😂😂🙌🏽
2026-08-18 06:40:48
0
fey4907
🌹fey🌴 :
radio free africa😂😂😂
2026-08-18 08:53:56
1
davs_g
davis✝️ :
hapo unakimbizana kunywa chai ya moto na wali wa jana, umeshachelewa
2026-08-18 04:55:58
73
tiktokhaisam
Just_dee🌴 :
yan nilikuwa naona wazaz ndo wanafaidi hadi waskilize taarifa ndo waamke ila mimi natafta soks😂
2026-08-18 05:23:17
86
elo.khan2
Elo khan :
ilikua lazima mtangazaji aanz na neno Naam Barbaraa kbsa
2026-08-18 04:11:07
123
bey17679
🙉🙉 :
we millennium😂😂
2026-08-18 08:57:29
0
barakalema
Baraka Lema :
Nikiskia hii nikiwa home basi nishachelewa namba
2026-08-18 02:00:54
83
mashastore_4
Masha store💫 :
Hili beat limeniumiza mara nyingi sana apa yenyewe nmelisikia nmejihisi kuumia😂😂😂 maana nilikuw nikisikia ivo najua basi nishachelewa namba na kama ni zamu ya mwalm mkali unajua kbs leo ni fimbo zinanihusu😂😂😂😂😂😂😂dah
2026-08-18 04:26:46
40
nmuu80
MUU :
ilivyokuwa ya ajabu utaiskia siku za shule tu ila jumamos n jumpil huwez skia
2026-08-18 04:31:26
30
sub_zero817
Sub_Zero :
Hiyo sauti ilikua inanikera sana maana najua tayari kumekucha tena na shule 🤣🤣🙌🙌
2026-08-18 04:07:07
53
shuuuniq7
Shuu memez 💃 :
lengo lako tupate presha maana ni kitambo tumezeeka sasa🤣
2026-08-18 07:12:33
8
revokatusi
Revo Katusi :
😂😂😂nipo napaka mafuta ya jumbo niwai namba mwanangu kwa hii naku follow
2026-08-18 05:54:32
10
mwanawawana
Ben Mwanantala Mzalendo :
Hii ni radio feee Afrika ,na sasa ni tuzungumze magazeti karibu sana msikilizajiii😃😃😃
2026-08-18 05:44:41
13
tanzanitecomputers
TANZANITE COMPUTERS :
Hiyo sound ukiisikia bado uko nyumbani , USHACHELEWA NAMBA
2026-08-18 05:38:17
17
grey66666666
Grey ⁶ :
nilikuwa naumia MDA WA kwenda shule ,bag na madaftar sijui nimevitupa wapi soks na shat sijafua 😂🙌🏾 najiuliz ijumaa nilitoroka wakahesabiwa namba😂😂😂
2026-08-18 05:26:34
16
maromathias23
Mathias :
daah🤣 Yan apo ilikua nikiskia Ivo tayari nishajikojoleaa daah😂
2026-08-18 04:45:46
11
user8379202620701
The_Mountain914 :
asubuhi nikiamka kwenda shule😂
2026-08-17 20:44:07
16
asia8659
red sojer :
kwahiyo wote mlikuwa na redio 😄
2026-08-18 03:16:02
12
cinch_
Cinch :
lazima nimuone mzee mlangoni na mswaki wake anakuja kuniamsha kwenda shule 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2026-08-18 04:44:28
6
robartifabian
Robarti mallya :
tunakuleteaa nipashee😂😂
2026-08-18 02:23:51
14
To see more videos from user @dancoopertz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About