@mzeewakijiji1: Historia ya muziki wa Pwani haijakamilika bila Golden Voice kutoka TANGA ya Bi Mwanahela Salum kwenye burudani lake la SEGE SEGE. #mwanahelasalum #taarab #segesege #tanzania #swahilitaarab
it was my mother favourite song then 1989 love it🥰🥰🥰sege sege
2026-08-18 10:38:08
3
Mshirazi Mbuli :
golden star bana sio golden voice
2026-08-18 13:41:02
2
Eid Almansouri :
them days when taarab was taarab
2026-08-18 08:06:22
11
Athiyah Faraj Omar :
Aaaaaahhhhhh..... Good old days.... But Yanikumbusha tukiwa nyumbani kwetu bado wadogo.. Whole family...
2026-08-18 14:28:07
2
kulwa2222 :
Old is Gold
2026-08-18 20:06:45
0
maryumaSaleem :
back in times
2026-08-18 10:19:32
2
Sarah omar🇧🇭🇧🇭🇹🇿🇹🇿 :
huyu c ni yule wa 🎶sitaki sitaki japokua Sina kitu kunyanyaswa sitaki🎶
2026-08-18 12:11:45
7
Mzee Wa Kijiji :
je unakubaliana kama wimbo huu wa SEGE SEGE ndio ulomfanya akajulikana zaidi kwenye sanaa ya taarab? kama kuna mwengine unaohisi ndio ulompa umaarufu kushinda huu wa SEGE SEGE tutajie hapo chini.
2026-08-18 05:30:37
13
Asha Indasio :
wow umenikumbusha sisterngu alikua anaupenda sana huu wimbo
2026-08-18 15:18:00
2
user5805655369226 :
Good old days pale likoni tukiwa na bwana Mbuzi Alii Kowa.
2026-08-18 14:11:19
2
Ayshachibu :
HAPA DA TIMAH MTUPU MASHA'ALLAH MUMM5😍
2026-08-18 16:50:30
1
Hawa Abdalah :
🌹🌹🌹🌹
2026-08-18 13:13:06
1
Amina Tsumo(nut lady) :
Hongera mama nakumbuka 1998 harusi ya first born wetu msambweni kicte alituburidisha sana Allah amlinde
2026-08-18 13:16:04
1
eicer jay💗💗 :
sijua ulijificha wapi mama wewe
2026-08-18 17:57:55
1
rukiruki :
Hii nyimbo nilikua naipenda sana iliimba kwa harusi ya dadangu nikalia sana tuko wawili sa nilikua naona ameenda
2026-08-18 13:38:33
2
Rahma Kache 001 :
Umenikumbusha mbaali...🤗🤗
2026-08-18 17:45:42
1
KIGOMBE TANGA :
nyimbo pendwa ya mama yangu jamani 🥰🥰🥰
2026-08-18 16:05:50
1
Zuuh76 :
Walikua wakipiga nje barabara 19 wakatihuo sisi wadogo jamani dah nanilikua sipitwa na mama kilasikualikua akieka mbimbozake kitambo👌
2026-08-18 15:44:19
1
Amina :
asante
2026-08-18 12:16:22
1
Ummu Salma :
Daa nimekumbuka mbali sana 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🔥🔥🔥🔥🔥
2026-08-18 12:38:22
1
fatma Attas :
mwanahela🥰amekulia nyumbani kwetu tanga Indian street walikuwa na mama na dada yangu kwenye white star na musa shominga.enzi hizo.
2026-08-18 12:45:47
2
Iman :
mwanahela yuko wapi huyu mama nakumbika ndie alie imba harusi ya dadangu
2026-08-18 09:28:29
1
To see more videos from user @mzeewakijiji1, please go to the Tikwm
homepage.