hamjamuelewa yaan kila kikundi kiwe chin ya muft n yy ndio kiongoz w nchi kwa muongoz w dini
2026-08-18 15:27:04
0
AMANI MAHMUD :
biashara hiyo.kwanini mpaka tasisi ndio ishughulikie hija?
2026-08-18 06:34:26
0
Ally AL-QASIMY :
wanatumia nguvu kubwa kumbrand Muft wao.
Muft sio muft wa waislam wote ni Mufti wa Bakwata.
sasa inakuaje wasiokua wanabakwata kulazimishwa kua chini ya bakwata.
uislam umekua na Uhizbi sana skuizi
2026-08-18 15:19:58
0
Obelloz :
mh 🤣🤣🤣🤣wapgajiii
2026-08-18 19:15:05
0
Papaa Mbouf :
tutatumia taasis za Somalia
2026-08-18 14:23:27
0
Simba :
waongooooo
2026-08-18 20:26:35
0
To see more videos from user @nyayozamaulamaa, please go to the Tikwm
homepage.