@dr.jessy09: Ni lini siku ya kubeba ujauzito#fypシ #fypagetiktok #babylove

Dr Jessy
Dr Jessy
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 18 August 2026 06:22:44 GMT
60798
3076
64
240

Music

Download

Comments

hashimurashidimaj
eunice mcharo :
sn ute dad
2026-08-18 16:12:22
0
magie665
magreth :
shida tunasumbuliwa na chango
2026-08-18 11:48:39
11
user2393031836284
zara :
jamani mm akiniambia mzunguko sina ninachoeleza
2026-08-18 11:59:41
5
ma.nuu44
Ma Nuu❤️🫶 :
kipenz mwez wa 7 mimba iliharibika tareh 11 rasmi mwez uu nimepata p 11 mzunguko 32 je hatar ni lin naitaji mtoto 🙏
2026-08-18 18:39:33
2
ladyivette283
Lady Ivette :
0k
2026-08-19 23:20:41
0
user73344586161340
pendeza@ :
asante docta
2026-08-20 04:38:36
0
zabron32
vinex :
namba kuliza tarehe ipi mtoto unapata wa kiume
2026-08-18 15:10:52
3
saaada46
Saaada :
Mimi sibadili ck jamani lkn mimba sipati 🤣🤣nanyeg napata na ute unakuja na ck za hatar Zina kuja😂😂
2026-08-19 06:41:55
1
onesmusmutuayambumbuboyz
Onesmus Mutua Yambumbu Boyz :
na mtoto kichana
2026-08-20 02:21:01
0
fetty619
fetty😇 :
Dr mbona me sipati ute wa ovulation 🥺
2026-08-18 14:51:54
1
magreth.sande
Magreth Sande :
mbengu za maboga ninzuli zilizo kaangwa nauliza nijue ninapresha inanisumbua mimi nimjamzito nisaidie🙏🙏🙏🙏
2026-08-18 06:42:33
4
user2613532110909
yule wangu :
meengine yananyege Kila siku
2026-08-19 19:55:22
0
user1866195700845
hurry jjihaan :
mbegu kumwagika shida ni nini na ipi suluhisho
2026-08-19 11:32:10
1
nhandi.john
Nhandi John :
siku za hatari wanga ni siku nne tu au huwa 8
2026-08-19 14:07:20
0
user4949435284368
supar women :
dr wngu mpendw naomb unijib kuna ile inatokea baaz ya watoto wanazaliwa na mabaka meusi makubwa sehem za mwili wengine had usoni anakua nalo anazaliwa anakua nalo na halitok wla haliumi huku kwe2 znz tunasema et mwezi ukipatwa km unamimb ukijikuna unamuachia baka mtoto je ni kweli au itikani za wazee na sababu hasa hua ni nini
2026-08-18 07:18:51
1
user98783206576244
Alain ngoy :
asante docta kwa mafundisho
2026-08-18 10:28:32
0
user97661278150518
3586 :
sasa mwalimu mbele mwanamuke apite ku mwezi wake date gani anaweza beba mimba mbele aone
2026-08-19 13:13:35
0
naar1
Naar☺️ :
Apo mzunguko wa cku 30 baby boy ni cku gani kupata
2026-08-19 08:11:43
0
user80449304581410
user80449304581410 :
mimi nilifanyiwa op mimba ilikua nje ya mfuko naweza kubeba nyingine baada ya mda gan
2026-08-19 10:23:07
0
user2851723065635
mrs p❣️ :
hyo nyuma na mbele unahesabuj
2026-08-20 07:04:52
0
momy.muneer.og
momy muneer OG👌 :
Vyote vitatu ninavyo yaan nikicheza vibaya tu mimba iyo apo
2026-08-20 04:50:52
0
user4225425475934
user4225425475934 :
naomb unifanyie mznguko wa siku 32 dada naingia tareh 13 siku ya hatar ni hip
2026-08-19 11:24:43
0
user8838059079061
user8838059079061 :
mm pirid napata trh 2 au tarh 29 sasa sielewi inakuwa vipi hivo
2026-08-19 10:50:35
1
tahyia.ismail
Tahyia Ismail :
Mimi mzunguko wangu ni siku 25
2026-08-18 11:39:23
1
To see more videos from user @dr.jessy09, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About