@cawabemedia_: Mwanasheria na mwandishi nguli wa vitabu Prof. Abdallah Safari anasema yeye na wenzie waliotoa wazo la kuanzishwa kwa Law School of Tanzania hawakutegemea kwamba ingekuwa ni sehemu ya kutesa wanafunzi kama ilivyo sasa badala yake waliamini itakuwa ni sehemu ambayo wanafunzi wa sheria watajifunza kwa vitendo zaidI. Video kamili ya mahojiano haya inapataiikana katika chaneli yetu ya YouTube #cawabemedia