@mwaipaya_: WANAOTAKIWA KUWA OFISINI WAPO MTAANI NA WAOTAKIWA KUWA MTAANI WAPO OFISINI. Dereva wa lori Elias Jonas anayesubiri kupakia au kushusha mizigo katika Bandari Kavu iliyopo eneo la Mchicha, Sandali Temeke Jijini Dar es Salaam ametaja changamoto wanazopitia. Jonas ameraja tatu ikiwemo mrundikano wa mizigo mingi kupita uwezo wa kuhudumia, suala la Rushwa, pamoja na huduma ya choo.

Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya
Open In TikTok:
Region: KE
Tuesday 18 August 2026 07:22:59 GMT
196209
13645
427
382

Music

Download

Comments

danny.kaduma
Danny kaduma :
good point
2026-08-18 10:46:26
1
livinshayo569
Boss.Ya.Mboka :
Nan mwingine amesikia sisi wote tunaichukia serekali ya jamuhuri ya muungano
2026-08-18 09:33:45
454
draculballotel
myovela dracula :
Brother wa Mbeya kabixa
2026-08-18 17:15:45
0
godfridzekinglove
Godfrid Ze kinglove 👑❤️ :
hakika wanaotakiwa kuwa ofiini wako mtaani na wanaotakiwa kuwa mtaani wako maofisini🤣🤣🤣🤣
2026-08-18 13:04:26
84
oscarkanyita
Kanyita Peanut Butter :
Big up broo dereva
2026-08-18 17:45:25
0
manutepe2
Man Utepe759 :
Elia classmate
2026-08-18 11:49:39
0
techdrivertz
TechDriverTz :
Ukitoa Doctor Nadhani Dereva Ndio mtu pekee ambae akili yake iko active toka anamaliza masomo , akiwa kazini na hata akistaafu I'm very proud of this professional 👊
2026-08-18 10:13:03
140
fattykiddy11
kiddy payet :
Man at work
2026-08-18 16:52:44
0
emmastartgimail.com
EMMA STAR 🌟 :
Watu wanaakili Kuliko wanao tuongoza hilo ni uhakika
2026-08-18 08:35:40
95
user7518579494144
BABA SWEET :
sisi wote tunaichukia serikali 🤣🤣watanzania wamechoka kweli
2026-08-18 11:27:54
39
allynongwa385
allynongwa385 :
msemaji wa madereva awezi kumwaga nondo izo
2026-08-18 12:28:01
37
princhiusfelcian
prince👑👑 :
mwananchi kama mkuu wa mkoa🥺mkuu wa mkoa kama mwananchi wa kawaida
2026-08-18 12:47:29
26
official__given
𝗚𝗜𝗩𝗘𝗡 :
Dj shikilia hapo hapo kwenye kuichukia serikali ya muunganiko😂
2026-08-18 11:12:51
38
seifsgamanywa
seif s gamanywa abagenzi :
hongera sana kijana kujiamini nijambo lamsingi
2026-08-18 08:55:36
23
sambuo.kweka
Sambuo kweka :
huyu alitakiwa amemsemaji wa madereva wa malori
2026-08-18 09:55:23
11
user78624792269186
Shakiru Dauda :
Tujitahd sana kila atakayehojiwa amalizie point yake kwa kusema wote hapa tunaichukia serikali ya Tanzania
2026-08-18 12:25:54
7
merinankullua4
merinankullua :
Mwenda zake alikuwa amepanga vizuri sana kwa kujenga kule vigaza na alitaka Malori yaishie huko yasiingie mjini,alivyoondoka watu wameamua kujiamulia ,mjini sasa hivi kila kona ni bandari kavu ,wenye hela zao wameweka bandari kavu mpaka maeneo ya jeshi ,nenda Zakiem kaangalie ,labda ni vituo vyao wakubwa ndio maana wanaruhusiwa kuweka kila kona.Kwa mtindo huu foleni Dar haitakaa iishe
2026-08-18 12:26:59
9
missjesca3
MRs STEVEN♥️🦋 :
harafu hii ya Magari Ma bus kuishia Stand ya Magufur mtu unakaa chanika mwisho na umefika na Gari saa 6 usiku inakuaje boda stand ya Magufur had chanika ni sw na nauli ya Dar moshi
2026-08-18 11:13:59
8
athumani1952
Athumani :
umeongea fact ila serekali yetu hawapendi ukweli
2026-08-18 10:13:35
12
user1668424718735
M23 :
iv🤔alijibiwa nin baada yakumaliza kuongea
2026-08-18 09:01:38
5
starjr09
Star JR :
kaongea ukweli kbs huyu suka
2026-08-18 08:52:36
8
baba.paroka
baba paroka :
zungumzia hoja, sio kumtukana mkuu wa Mkoa.
2026-08-18 13:02:45
1
teddyshauritanga3
tms :
nimependa alivyosema wananchi wengi wanaichukia serikali ni kweli mimi pia naichukia sanaaa
2026-08-18 17:22:44
2
jawadu.b.kijuu
jawadu b.kijuu :
mwamba nampa respect sana anatufaaa mahali flani hv ila acha ninyamaze
2026-08-18 15:10:53
3
To see more videos from user @mwaipaya_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About