@mo29tv: WANAOTAKIWA KUWA OFISINI WAPO MTAANI NA WAOTAKIWA KUWA MTAANI WAPO OFISINI. Dereva wa lori Elias Jonas anayesubiri kupakia au kushusha mizigo katika Bandari Kavu iliyopo eneo la Mchicha, Sandali Temeke Jijini Dar es Salaam ametaja changamoto wanazopitia. Jonas ameraja tatu ikiwemo mrundikano wa mizigo mingi kupita uwezo wa kuhudumia, suala la Rushwa, pamoja na huduma ya choo.
MO 29 TV
Region: KE
Tuesday 18 August 2026 07:26:02 GMT
Music
Download
Comments
Mudi Mach :
RESPECT
2026-08-19 02:03:49
0
Shedrack :
Safi Brother.
2026-08-18 10:19:59
2
Adnan R331 :
Wise man
2026-08-18 21:57:12
0
Bonifase Kitomari :
heard Man City ☺️
2026-08-18 18:36:52
0
Big up bro umetutetea madereva
2026-08-18 08:57:09
3
IMMUHDREEZY :
fact sna bro🔥🔥
2026-08-18 12:00:58
3
bilingijuniortz :
Mfano mim nikiwa ndio chalamila nikijiengua nafac yang nikimpa huyu jamaa maana ana hakili sana kumzid chalamila mwenyew😁😁
2026-08-18 10:33:23
21
hafidh :
uyu anafaa kua kiongozi wamadeleva wote
2026-08-18 17:03:34
5
Baba shangwe :
viongozi pia wanauelewa ila wanakaza fuvu kwasababu wanalinda ugali kuliko nchi yetu
2026-08-18 09:39:54
4
Kaisa :
mmmmh wew jamaa waw umesema maneno mazuri sana kk
2026-08-18 12:28:27
3
David Michael :
fact
2026-08-18 11:31:03
2
FAN :
kulikuwa na haja gani ya kuweka mi sound hiyo baada watu tusikilize maneno ya maana
2026-08-18 09:48:40
12
AIMANY HANSCAN :
kaka umeongea fact sana braza ujaficha kitu
2026-08-18 16:06:37
1
HAZARD ALLY :
amin kaka
2026-08-18 11:59:59
2
Sakina Jumanne :
umeongea ukweli mtupu kaka
2026-08-18 15:26:13
1
ally eliamini :
fact mkuu
2026-08-18 13:50:23
1
antory martini :
kaka asante kwakusema ukweli
2026-08-18 12:23:08
2
@Johnson Mahery :
Kamaliza
2026-08-18 12:30:28
2
zuberi momba :
Kwan kuhama ii nch unabonyeza ngap
2026-08-18 15:41:20
1
Kebwe Kebwe :
dereva heshima yako
2026-08-18 16:14:47
1
ramflo :
huyo jamaa ni askari pia
2026-08-18 13:09:19
2
OSCAR MUSSA JUNIOR :
nimesikiliza mara mbili kuelewa
maelezo yako na ushauli kwa mkuu wa mkoa
2026-08-18 11:34:42
5
salumumgelwa6 :
safi
2026-08-18 10:29:19
2
ssalehjuma :
kaka Angela Sana mkuu 🫡🫡🫡🫡
2026-08-18 12:31:21
2
draxford lakred pro max :
nimeingia kwenye comment nilitaka kuona watu wapumbavu wazee wa kukosoa wenzao ila Leo nimeona tofauti kabisa yani wame comment wenye akili tyu safi
2026-08-18 12:04:34
6
To see more videos from user @mo29tv, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.