kaka me namimba na mimeondoka kwa mwanaume baada ya kumfumania na akaniambia hatahudumia mimba wala haijui na kweli leo siku ya tatu tajanitafuta natafuta mwanaume ambaye anahitaji mtt nimpatie hii mimba moyo wangu una maumivu sana naomba unisaidie
2026-08-18 13:21:12
11
Appie :
tulishaonekana hatufai yan mm nakuambia katutelekeza na mimba na mtoto hata kula yetu shida tunaomba omba tu