@samiri.hadhirii:

vSamiri hadhiri
vSamiri hadhiri
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 18 August 2026 09:32:20 GMT
41385
1067
35
855

Music

Download

Comments

genge_mbeya
genge_mbeya :
Wazungu wanasema HAPPY WIFE HAPPY LIFE.
2026-08-21 08:07:18
3
ellitesavage0653
ELLITESAVAGE :
why a u blaming only on them
2026-08-21 08:38:53
0
noeazy_jr
Kijana Msomi🇹🇿 :
na ukiona bado ndoa ipo hata kama hakuna furaha ujue mwanaume kaamua iendelee kuwepo....
2026-08-21 09:39:23
10
dya_675
Diya-Al-Hamdy :
Ni kweli ukitaka ndoa yako ionekane ya furaha ingalikua moyoni unalia basi vumilia bila kugombana au kumuuliza chochote mume wako pale anapokufanyia makusudi ya kukudharau, kebehi, kukuchit, kujinunisha ili usimuulize chochote na kukupa majibu mabaya.
2026-08-19 16:20:03
6
mrsrashid85
🦋Queen Aydah🦋 :
That true alhamdhulilah niko na furaha katika ndoa yngu mpka saa nyingine nashangaa hio furaha na amani,nakupenda mume wngu popote ulipo mungu akulinde🥰
2026-08-20 13:24:45
7
jamesbossing1361
James Bossing :
halafu kuna watu watadhani utani...
2026-08-21 08:23:19
3
iman_faraj99
Iman :
na ukiona ndoa hakuna furaha na bado ndoa iko, ujue mwanamke yuaomba mungu ampe subra na ameamua kuvumilia maudhi
2026-08-21 12:11:54
1
brazilian_boyy
i@m kareem :
ningecoment lakin basi nasubir next post
2026-08-19 16:29:34
2
feisalsaad
Feisal Saad :
ukweli kabisa
2026-08-19 04:13:05
2
oo19194
Central kizzy ⚫️ :
sio ndoa 2 ata mahusiano
2026-08-20 21:18:58
1
asensio_vitambaa
asensio_vitambaa :
Truuuuuuuuuuuuuuue
2026-08-19 14:36:29
1
muqbil7
veteran punity :
factos
2026-08-19 15:08:54
1
dil_interiors
dil_interiors :
Maneno mazima haya…..hakuna chembe ya uongo hata moja
2026-08-19 13:22:03
1
logan_liam1
𝐋𝐨𝐠𝐚𝐧 :
Naam. Ni kweli kabisa
2026-08-19 17:12:32
1
cadeau7
cadeau7 :
sw kabisa
2026-08-18 11:50:50
1
lifepat3
@ish🥰😋 :
nishaachanaga na hayo. mambo ya mswal niko na fraha sana
2026-08-20 06:00:48
1
khayraasuhel1
خيرآة مُبرآك❤️‍🩹🥰 :
Wacha tu niseme Alhamdulillah 🥰🥰
2026-08-21 09:15:20
0
raac0l0urz
raac0l0urz :
Mimi ntaweza kweli kuweka iyo furaha😂😂
2026-08-22 07:12:33
0
yusufchannel4
@yusuf channel :
kweli umesema
2026-08-21 12:16:03
0
allyisland5
allyisland5 :
Ndoa mahusiano sio jukumu la mume tu mke pia ananafasi kubwa sana sana zaid ya sana kwenye ndoa
2026-08-21 11:55:58
0
user7781385277472
user7781385277472 :
wanaume tukutane tumtuze huyu msema kweli
2026-08-20 11:22:04
2
amicanasir
amicanasir :
Sasa kama unafanya vitendo visivyoeleweka kama kuchepuka humdharau humuhudumii na ukaona bado ndoa ina furaha jua kua kuna mwanume nyuma ya mkeo anaitengeneza furaha hiyo uo ndo ukweli ambao wanaume wengi hawapendi kuujua wala kuusikia
2026-08-21 04:24:09
1
To see more videos from user @samiri.hadhirii, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About