@thecalvineffect: Nilikwenda kuwatembelea rafiki zangu Mbezi, lakini nikawapa challenge moja: kila mtu aniambie tatizo moja linalomsumbua kwenye bodybuilding. Sababu ni simple hawa sio watu ninaowafundisha tu, ni marafiki ambao tumekuwa tukisaidiana kwenye safari yetu ya kubadilisha miili na kuboresha maisha. Kila mmoja ana challenge yake: wengine kwenye nutrition, wengine training, recovery, consistency au mindset. Bodybuilding sio safari ya mtu mmoja. Tunajifunza, tunasaidiana na tunakua pamoja. Uko kwenye bodybuilding, ni changamoto gani kubwa inayokusumbua kwa sasa? #kwillahjr #fitnesseducator #thecalvineffect