@ommyfitness: Kama huchimbi visima, hubebi mizigo, hulimi kazi zako ni za kukaa kama Bankers, officers, walimu, wahasibu n.k epuka wanga kwa ajili yako mwenyewe. Kama wewe ni dereva wa kiongozi na haupo active hivi ndio vinapaswa kula vyakula vyako. Kama unatamani na hujui utaanzia wapi, jiunge na program yangu ya kupungua uzito kwa Diet nitumie neno COACH WhatsApp 0628908800. Bado siku 12, unaweza kutimiza malengo ya kupungua 6KG WE ARE MOVING. . #ommyfitness #trainerwataifa

Trainer wa Taifa 👑
Trainer wa Taifa 👑
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 18 August 2026 10:39:08 GMT
100060
1959
62
388

Music

Download

Comments

me_byob
me :
nilichogundua hakuna mlo ambao umekosa parachichi. naomba nipe siri ya parachichi. shukran
2026-08-19 12:42:40
4
haneefah_7
Haneefah 💫 :
Mbona me ugali silagi nakulaga wali tuu ndo nazidi ongezeka 🥺
2026-08-19 19:40:57
5
nuruyakweli_official
NURU YA KWELI💥 :
anaejua namna ya kutengeneza slide kama hivi anisaidie🙏👏
2026-08-19 16:53:22
1
hezekialukinisha
m.ec.c :
af mda uo naingia mitikas au narudi kulala 😂😂
2026-08-19 19:34:05
5
wyse190
Wyse Jones :
mm sitoboi
2026-08-19 18:33:44
2
peterson203
~peterson2🎮🏀 :
me nataka niongezeke Sasa inakuaje
2026-08-19 17:25:54
0
movieswahili
Rommy tz :
ila wanyakyusa
2026-08-20 00:38:27
2
trevor8595
Trevor :
apa siku ya 4 tu mtanizika wakuu inamaana asubuh unakula nin na mchana unakula nin hujatuelewesha apa
2026-08-19 18:36:26
2
codevnx
Techkel :
asubuh empty mchana juice na keki moja total caroli 400 usiku night wali kiasi caroli 1200 total 1600 kwa siku push up 120 libs exercise ni mara 60 Nina feel ku maintain mwili that's discipline
2026-08-19 16:06:57
0
mu_products
Mu products :
mbona menyu zote avocado limetawala
2026-08-21 12:18:50
0
sharkman885
sharkman :
utamadunii😁
2026-08-20 12:31:08
0
mamydhaura
Ladydhaura🥰 :
mie leo ya 7 sili wali wala ugali lakin sina uwezo wa kula mayai yote ayo kwa siku nafanyaje
2026-08-21 15:17:32
0
kklhhhhkk
ROI BELGE ISSA :
sasa mbona parachichi inatumika mafuta ?
2026-08-21 15:27:11
0
kelvinsanga217
Kelvin Sanga :
ila umekula vzr sana aise.... mim nina miezi miwili sijala nyama... sina pesa
2026-08-20 15:04:58
0
mketo_the_son_furniture
MKETO_THE_SON_FURNITURE :
me ni sipo kula ugali nakonda kwakweli
2026-08-20 16:44:36
0
job.sererya
Job Sererya :
Nisipokula ugali ntakuw nameza mboga na sita shiba 😅🤣
2026-08-19 17:55:12
0
essam.edel
Essam edel :
Uongo wali ni chanzo kikuu cha energy so japo kidgo uwepo
2026-08-19 10:24:47
0
infinitywave8
INFINITYWAVE :
mimi nikila michemsho kama hii ndio naongezeka zaidi yaani
2026-08-20 13:56:47
0
thobius_maneno1205
@thobius_maneno :
sasa nyama na parachichi nitalala kweli mkuu😟
2026-08-19 15:42:33
1
pk.bullet47
pk bullet :
labda sio njaa 😂😂
2026-08-19 18:36:16
1
minaahmuslims
minaah Muslim ☪️ :
wala haviwezi kupanda bila ugali pembeni🤣🤣🤣
2026-08-19 00:56:42
2
desouza561
mokiwamuya :
kwahy nile mboga tu bila ugaliii???🤔🛌🏼
2026-08-19 16:15:55
1
meshack.bernaldo
Meshack Bernaldo :
apo parachichi sijaliona kwenye siku moja tu
2026-08-20 16:21:29
0
hisiazangu
The Unsaid Feelings :
MZEE KOMBO YA PARACHICHI HAIKWEPEKI
2026-08-20 16:35:05
0
user7507111940516
Rosie 🌹 :
samahani hivi maziwa fresh yanafaa kwenye safari ya kupungua
2026-08-18 11:01:25
0
To see more videos from user @ommyfitness, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About