Mimi nmwenyew nikilala na mwanaume tu mapenzi yanaisha kabisa ata nakuwaz simfikirii Tena huyo mwanaume
2026-08-18 17:12:50
213
kipenzi cha wa🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇨🇩 :
kama unataka uyo mwanaume akuwaze kama mwanzo mkisha lala tu usimtafute wa la kumpigia kelele nyamanza atajistukia na kujirudi mwenyew iwe tabia yako ya kila siku kutokumtafuta kama nk wakuenda ataenda kama ni wakubak bc upendo utazid
2026-08-18 18:13:54
114
virtuous Tasha :
jamani sio wanaume wote wako Ivo
2026-08-18 18:48:03
76
Azuath🩸 :
asa mbona me nina tabia za kiume jmn 🥺 au nikachunguze homoni zangu
2026-08-18 14:47:23
59
nunuh girl♥️ :
siwezi olewa na mwanaume ambaye hatujaonjana
2026-08-20 22:08:02
25
Adija sudi :
ukiona hivyo akukupenda toka zamani
2026-08-20 07:03:14
25
Mwamin Hamim :
ukiona hvy hajakupenda kakutamani
2026-08-23 09:01:51
10
Happy :
Mm mwenyewe nikilala na mwanaume ndonakuwa nakibur 😂 yeye ndo anaanza kunisotea
2026-08-19 14:44:26
15
Siwema nicolas :
mbona mim ninatabia za kiume bas😳
2026-08-18 17:29:21
5
samira🌺💖 girl :
sio wanaume wote wakwangu mbona ndo kazidisha kupenda zaid ya awali
2026-08-21 10:38:43
12
mellisa :
akuna mtu anafikiria mtu sai...tunafikiria vile tutajenga maisha yenu..
2026-08-18 19:59:32
18
Fetty Mtiti :
Bwana mbn mm siko hv nikilala nae ndio nikitoka hapo namblock sitaki hata kumuona 🤣🤣💔au mm ni mshenzi nachezea wanaume😁😂😂🤣😅😅
2026-08-21 06:34:36
6
Saraphina :
kiukweli mi ni mwanamke ila nikilala na mwanaume tu namsusa kumbe kwangu ni vise versa
2026-08-18 17:21:53
8
Black swan :
Ni wanawake wa zaman sahz wanawake ndo hawataki tena kurudia mwanaume twice😂
2026-08-20 15:11:20
6
K.A.I.L.E.Y.💙👑🧚♀️ :
me mbn ndo ananifata fataa kila siku😂😂😂me ndo sijibu
2026-08-19 07:20:29
5
Agatha felix :
labda mwanamke wako sio mm
2026-08-18 14:03:37
8
Aslanay Mwadi :
hebu mie nisubiri ndoa
2026-08-20 11:06:41
5
Queen kahindo❤️ :
Uongo kabisa kuna wanaume baada ya kulala na mtu ndo ananja kukuwaza muda wowote nakukupenda tena kiasiiii
2026-08-19 11:12:12
11
rahmaramadhani2687 :
kwaiyo wew ulilala na mwanamke wako baada ya ndoa????
2026-08-18 17:30:26
10
sherry martin :
sio kweli,nimelala nae ndio kazidi kunipenda na amekuwa na wivu sana,na simpendi namjibu ninavyojisikia bado yupo TU.kinachonifanya niwe nae ni Hela zake TU,sikumbuki hata niliwahi kumpenda
2026-08-22 12:09:13
6
To see more videos from user @afya_na_mtasha, please go to the Tikwm
homepage.