sasa kwa mfano haya majenge makubwa kama kariakoo au viwanda kuungu inamaana mafundi walio watumia hawajasajiriwa na ewura?
2026-08-31 10:05:41
0
VJ Code 8 :
mtupe utaratibu jaman na ss tunaojitafta kwenye fan hii
2026-08-18 18:19:36
0
emmanueljeremiah87 :
ndo ujinga wa serikali
2026-08-20 17:06:47
0
aloyce*** :
tatizo ni jina2 sio lesen au nin mbna kuna wat wamesoma vete2 na wako vizur
2026-08-28 18:51:09
0
king Datos :
mnataka tulale njaa ety
2026-08-19 17:09:57
0
@arafa :
sometimes mambo hayaendi hvo, endelea kufukuzia waliosajiliwa, Kuna watu hawjasajiliwa ila wanaujuzi kuliko hai wakwako!
2026-08-20 12:06:23
0
fundi_umeme_wa_nyumba :
hapo suala kubwa ni busness partner au project partner fundi usiposhare hata uwe na lesen bdo utakuwa down tu mbaya zaid ambao wanalesen ni sisi mafund ambao tunajitafuta ila wenye majina tok zaman sidhan kam wanafuatilia lesen
Yani Kuna watu wakisha amaka wanwaza kutu Uzi wengine Sasa mm ivyo vitu vyote nifate na niwakati ni garama kubwa sana au mnatupatia nakazi acheni mambo yakuwafanya watu waonekan kama hawana taalum na wakati ukienda pale tanesco Yuko wengi sana tumejifunza tu na kujua kufanya kazi basi tena kazi safi sana alfu ukijisajil hapo jengi likajabkuleta changamoto hiyo leseni inasaidia kulekebisha au inakuwaje hapo na
2026-08-19 01:14:46
0
VJ Code 8 :
shukuran
nilikuwa sijapata kulijua kwa kina na kurifatilia Mkuu🙏🙏
2026-08-18 18:49:13
0
Ally Mnyema Biashara :
hao waliosoma sisi tunawakataa hawajui kitu hao
2026-08-27 04:32:39
1
asaelectricalservices0 :
mchina yuko mbali sana kielemu ndio maana yeye anaangalia unajua kazi angali cheti ila bongo pen mbele practical and work experience asilmia 30
2026-08-19 13:08:12
1
@Prime D :
mtasema sana lakin hatuachi kwasababu hao wemyr vyeti wengi wao ndo hawajui ety
2026-08-28 22:21:52
0
MGAGA ELECTRICAL :
upuuzi tu
2026-08-20 18:12:46
0
BiN__SaDiQuE :
hao wafundi sasa ukikuta kazi Zao🤣🤣🤣🤣🤣🙌 au basi
2026-08-20 08:53:18
0
mwinyingwisa :
akuna fundi wa mtaani ww mnataka kuwaaalibia watu kaz tu
2026-08-20 06:09:40
1
Dman :
ufundi ni ujuzi au skills sio vyeti mkitaka wachukueni hao mafundi wenu peleka site muone watakavotoka jasho la mikono. huku kitaa wapo mainjinia kibao wanashika site na wanawauzia mafundi wakitaa tena wenye ujuzi wa kurithi
2026-08-19 09:21:41
0
Dman :
mnataka kuaminisha uma kuwa mafundi waliosajiliwa ndo wanaojua kazi wakt wapo webye hizo lesseni mtaani kazi zao mbovu kuliko hata ambaye hana lessen cz ili upate lessen wanaangalia vyeti tu bila kujali uwezo wako wa practical hamuoni hii nayo ni kuzalisha mafundi uchwara wengi
2026-08-19 09:21:45
0
kang joing :
na mafundi wengi wanaozinguaga kwenye wayring ni nyie tanesco kujikuta Kila kitu nyie mnajua kwenu humo mna watu kibao hawana hata vyeti kabala ya kusema hivyo anzeni na ndani kwenu kwanza
2026-08-19 01:16:32
0
wille :
usumbufu tu
2026-08-22 11:02:12
0
To see more videos from user @mnallaelectronics.1, please go to the Tikwm
homepage.