sijaon shekh africa anayo gusa moyo wang kama shekh abdu rogo
2026-08-18 20:39:11
11
Muhammad :
halafu utasikia watu bado kusema eti si ukweli
2026-08-18 23:54:28
2
M.JELLY🥰 :
Maneno hayo...ameyatumia kama Majazi yani mtumi ndo sababu yetu sisi kufutiwa madhambi hapo Sheikh barzanji ametumia maneno hayo kutawasul kwa jina l
2026-08-19 09:44:50
2
Abuswaleh15 :
kaangalieni suratinnisai Aya ya 64 ndio mutaelewa maana ya fa aghithi WA ajirnii
2026-08-19 05:20:36
1
user33916319465628 :
Twafata wali hatufuati maulid
2026-08-19 13:10:18
3
user5035481078722 :
abudi rogo simmtume Wala nabii pia yeye aweza kukosa
2026-08-19 10:57:10
1
mswahili abza :
sheikh uko sahihi
2026-08-19 09:41:39
2
Bin Mahmoud :
2026-08-18 21:15:01
0
Mansoor :
bahari nzito huwezi pita wewe
2026-08-19 14:50:42
0
shafiru m,kashato :
shida siokuseam shid ni kusoma
2026-08-19 08:16:26
0
abdallahali8963 :
mashaallah
2026-08-19 07:41:01
1
Abuswaleh15 :
tuwache kuwahukumu watu ila tumuachie yeye mwenyewe mwenyezimngu
2026-08-19 05:18:16
0
Abuswaleh15 :
hakuna aliemfanya mtume kua nimungu
2026-08-19 05:21:14
0
haile_.maryam :
Kama Allah mwenyewe kammwita RAUFU RRAHHYM, hilo lililosemwa n barzannji ni kubwa kuliko hilo
2026-08-19 05:00:47
0
Habib bariz :
Maashallah hii ndio ilee mada alioileta shekh Muhammad Bachu 😂😂😂😂😂
2026-08-18 20:49:33
2
user5035481078722 :
hata nuhu alisema innabinili min ahli lakini akaambibwa inahu laisa minali itakuwa abutwali hakuna shirki katika maulidi kwani nitumie wote kazi Yao nigani ni kubashiria watu pepo na moto na mtume ndio ataombeya watu watoke motoni Tena wenye madhambi makubwa kama mnapinga pingenitu maulidi yanasonga mbele mitumie kazi Yao siilikuwa kukinga watu wasiingie motoni ama kaziyao nigani kwani sikuyakuama atakae omba shifa ni nani musidanganywe maulidi haifai wanawivu hao
2026-08-19 10:54:35
0
mujahudin :
🥰🥰🥰
2026-08-19 05:05:48
1
josephmasai :
🥺🥺🥺
2026-08-18 22:23:40
0
##shift :
😁😁😁
2026-08-19 19:10:39
0
To see more videos from user @passerby728, please go to the Tikwm
homepage.