mimi nilikuwa hivyo nikiwa jedid
nilisema sorry mpaka nikaambiwa sorry ni mingi 😂
2026-08-19 09:11:16
1
Ayooo :
Aiii wakate bt wakurudishe ofisi juu nko sure hikua intensional mm nlivunja siniha mbili nkaambiwa ntakatwa mshahara nkaenda room kupack nkaambia madam kata yenye inatosha hizo sinihanyenye inabaki nipee Sahi tw nakol agency nirudi ofisi🤣🤣🤣🤣nkakua kisirani serious dhen that was the only month nlilipwa 1100 riyals na normally hukua 900
2026-08-19 08:32:24
1
Amisa Kenya🇰🇪 :
😂😂😂😂😂😂😂ikiingia tu hivi redsea utafika mbinguni kabla uingie kenya , safe journey baby gal
2026-08-18 17:06:11
5
🎀Vivian 🎀gakii🇰🇪🇸🇦🇴🇲 :
hapo tu mbele kidogo 😅😅😂 ndio nilikuwa natafuta mwenye tunavuka na yy😅😅🥹🥹
2026-08-19 00:09:14
1
🥵Nothing 💋but 💔truth 👣🗣💦 :
na mm mwenye fridge nimearibu mbili so far 😂
2026-08-19 08:40:48
0
Awuor💞🇰🇪🇰🇪 :
😥😥😥🤭
2026-08-19 08:30:16
0
Zurii.x :
weuh NAMI nilipasua Sina kubwa weuh 🤣🤣🤣 ni Mungu alisema is okay 😂
2026-08-19 08:49:50
0
itz Kuria 💜⚡ :
kwama apo tyu Egypt
2026-08-18 19:58:35
0
Lucy🇸🇦🇰🇪 :
nini kinaendelea hapa juu Mimi hii ikinihappenia mwendo nimeumaliza, I am working in an extremely rich family, Kitu moja Ni salarly ya miaka nne🤣🤣
2026-08-18 17:58:52
0
virginiawanjiru236 :
Aki pole sana aki😢😢
2026-08-19 08:14:01
0
Dee 💟🇰🇪 🇸🇦 :
weeh
2026-08-18 17:43:28
0
warrior's 🦅 :
woiiii pole aki
2026-08-19 07:40:30
0
miss Katrina 💞❤️🔥🤍 :
uuuuiiiiii
2026-08-18 18:37:16
0
💘 ⒹᵉlĻY đⓔ𝐞💫💫 🎁💛 :
Aki mi glass zinakapitia hadi naurumia madam wangu🤣🤣 lakini si kupenda kwangu jamani 🤦♀️
2026-08-19 09:56:29
0
diffinah💕💕💕 :
Vaa TU Crocs urauke ndani na speed ya mia utajipata kenya
2026-08-18 22:02:05
1
Naomi Tall :
pole wooi
2026-08-19 08:07:54
0
Miss tavi🦋 :
nipasua shishapot na first day let me tell you guys I cried 😂😂
2026-08-19 08:56:42
0
CHAOSCUTIE🥹🫰🫶 :
me hii ikinipata watanikuta nmejimaliza before waniangamize wenyewe 🤣 na vile ata kasa moja ikipasuka huwa wanakaa nikama nimeuwa mtu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2026-08-19 08:40:01
1
Doreen okware :
gai!salo yote si itaenda ivo mamaa
2026-08-18 16:33:03
1
To see more videos from user @missp613, please go to the Tikwm
homepage.