Nimejikuta nalia tu I miss you so much my Mumy and lest in peace
2026-08-27 13:20:10
2
Paul youth Adventist :
Niwambieni wanangu wazazi wako wakiwa hai shukuru mungu kuna watu hawajawahi kuwaona wazazi wao hamna ki2 kinauma kama kumuona mzazi wako anashushwa kaburini tuwapendeni wazazi watu na tuwaombee wazazi wetu waishi miaka mingi alie weka hii post kuna ki2 kimenigusa na kinauma
2026-08-20 15:15:59
66
faith :
haaaaah jaman mim mama aliniuliza nikamjibu kisha akaniomba nimwache apumzike baada ya muda nikamkuta kashapumzika kwel
2026-08-20 11:52:43
25
johnte 💎 :
kama ni kwenda ataenda tu mi nitamwambia
2026-08-27 13:37:53
4
Mchaga Org 🇹🇿 :
hii nyimbo inaitwaje
2026-08-21 07:59:51
5
joel 336 :
😭😭😭😭kaka alinambia kanileteee maji ya kunywa narudi kasha fariki bhc tu duniani wote tunapita shida ni kutangulia
2026-08-27 07:53:04
11
paulcharles :
pengne mm mama angu alniulza chrismass n ln nkamwambia bado sku 10 mbele ilkuwa mwez wa 12 nltoka nje nmuache apmzke nlkuta ameshafark taar
2026-08-19 13:38:18
20
Zablon Wambura :
😭😭 My young brother Rest in peace
2026-08-25 13:44:06
3
silukala :
nipo natafuta mke wangu kumbe yupo huku
2026-08-23 20:20:50
4
The splash :
ambao hatujaelewa tusipate shida sio kila anaeuliza muda hua anakufa
2026-08-25 00:19:45
8
Jacklina Jackson :
je doctor kama si maumivu makali ni kama mascles zimebana ila siyo makali ila kuna siku ulipata sharp pain kama dakika tano hivi je hyo ipoje