@paza_sauti_media: Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo kuwepo kwa El Nino yenye nguvu kuanzia Septemba hadi Desemba 2026, hali inayoweza kusababisha vipindi vya mvua kubwa kuanza mapema katika baadhi ya maeneo nchini. Akizungumza na waandishi wa habari Agosti 18, 2026, Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Ladislaus Chang’a, amesema athari za hali hiyo zinaweza kuendelea hadi mwanzoni mwa mwaka 2027. akiziomba Mamlaka za Bandari, reli, usafiri wa anga na Sekta ya Afya, kujiandaa mapema kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua hizo. Aidha, mvua za juu ya wastani zinatarajiwa katika Kanda ya Ziwa Victoria, ikiwemo Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu na Mara, pamoja na Kakonko na Kibondo mkoani Kigoma, Pwani ya Kaskazini, ikiwemo Dar es Salaam, Tanga, Pwani, kaskazini mwa Morogoro pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba. TMA imeonya kuwa mvua hizo zinaweza kusababisha mafuriko katika maeneo ya mabondeni, uharibifu wa miundombinu na kuongezeka kwa magonjwa yanayotokana na maji yaliyotuama, huku wananchi wakitakiwa kuchukua tahadhari na kufuatilia taarifa rasmi za hali ya hewa.

Paza Sauti
Paza Sauti
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 18 August 2026 14:59:53 GMT
167697
4032
119
1006

Music

Download

Comments

c.y.n.t.h.e.r_3ga6
~.🦄🍀R.I.£🔮.N.O.L.D.£.$🤎 :
sisi uku daslaam kila siku jua halitoki sijui mmelifanyaje
2026-08-18 18:34:17
34
klinecollectiom
Raiyyan_fahmy :
wakumi
2026-08-19 01:59:58
0
user18558382425721
Amani@ :
Good information
2026-08-18 17:11:48
2
user763108083088
user763108083088 :
taja kwa kiswahili wengine hawaelewi February ni mwenyezi gani
2026-08-18 17:20:57
18
nyemo_1
Ney🦋 :
Dodoma tushazoea mvua yetu inaanza Disemba mwishoooooni🤣🤣🤣
2026-08-19 04:36:56
7
tinner3279
Tina :
Oktoba na septemba za mwezi gani dia
2026-08-18 20:02:13
5
0746eman
SUNDAYI :
hamuwezi kuizuia hyo elinino mpaka mwezi wa kwanza nina mbaazi shambani
2026-08-18 20:19:39
6
peee018
Ma mkali😍 :
Bora Dodoma haipo ningefanyaje mimi na mume wangu anaenda coz
2026-08-19 06:38:13
1
isaaczephaniah301
isaaczephania :
huku zishaanza Hadi kero na bado daa!
2026-08-18 20:14:27
2
saviannagustino20
savinny :
awa watu sio wa kuwaamin jmn
2026-08-18 18:53:09
1
madiwadota1
أمو فيصل♥️ :
asaiv mungu hatabiliw kaz zake.. yan anaamua mvua inyesh mda gan na wap.. yan saiv n vicevesa..🤣🤣 ukisem mwez10 itakujq mwakan.. ila uyu mung uyuuuu.. enewey tupunguze maaswii
2026-08-18 17:23:27
7
user3470841882156
oliver🦄 :
mbona watu wa kusini atujajisikia e. mtutaje bhna mvua nazenyewe zisije zikatusahau kam nyie mlivyotusahau
2026-08-19 05:58:00
1
shansleiman
hustler :
mm muuza juic ntauz kweli
2026-08-18 18:55:04
0
lightnessdallu
lightness dall :
😂 khaaa nashindwa kuelewa
2026-08-19 10:32:51
1
user74475447563468
Lazaro laizer :
Habar jema sana kwetu wafungaji
2026-08-18 17:06:45
2
user5487154591483
saidoo shafiq :
mbona mikoa ya kusini mbeya ilinga luvuma songwe lukwa mpanda huwa hamtowi utabili wa mvua tunaomba na sisi tufahamu ni watanzania
2026-08-18 18:05:31
3
zamirumgunya2
chambega majumbe@17 :
apanilipo gunia la mahindi 24000
2026-08-18 17:55:40
0
chaupole49
WÏZZÖ🫧 :
Sisi uku nyamongo mvua ishaanza mheshimiwa
2026-08-18 18:10:29
0
veranmkude
veranMkude :
Moshi imeshaanza baba angu na mahindi yangu hayaja kauka
2026-08-19 03:47:43
1
frenk1120
Frenk :
HUku imeanza Leo JIONI
2026-08-18 17:54:18
1
stevrnb2
Stev Rnb :
sawa ole wenu mtupange me naandaa shamba wazee
2026-08-18 19:14:37
1
silviatarimo28
Silvia Tarimo :
ni ngumu sana kuwaamini hawa 😂
2026-08-18 18:34:13
1
nicholausphaustine
nicholaus phaustine :
uoniuong
2026-08-19 11:32:44
0
To see more videos from user @paza_sauti_media, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About