@ngbfadventist: WAZAZI, MNAJUA WATOTO WENU WAKO WAPI NA WANAFUNDISHWA NINI? Si kila mahali watoto wetu wanapokwenda tunakuwa nao, lakini tunaweza kuwaombea, kuwafundisha Neno la Mungu na kuwaongoza katika maadili yanayompendeza Mungu. Usimwachie Dunia nafasi ya kulea mtoto wako bila wewe kuwa sehemu ya safari yake. Mfundishe, msikilize, mwelekeze na umfunike kwa maombi. Ombea watoto wako kila siku; Mungu awalinde dhidi ya kila ushawishi unaoweza kuwapeleka mbali na kusudi lake. Familia yako iwe mahali pa upendo, ukweli, mawasiliano na kumjua Mungu. “Mlee mtoto katika njia impasayo, naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.” — Mithali 22:6 Usichoke kuwaombea watoto wako.

Seventh-Day Adventist Church
Seventh-Day Adventist Church
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 18 August 2026 17:31:11 GMT
744
84
3
6

Music

Download

Comments

usernpfk4gxu64
Mwana harakati ✍️ :
🥰🥰🥰🥰🥰
2026-08-18 17:40:11
0
mr.glas17
its.Eng johnson :
🙏 🙏 🙏
2026-08-18 17:37:43
0
dinah.samba
@ Di :
🥰💕🙏
2026-08-19 04:59:17
0
To see more videos from user @ngbfadventist, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About