@fadhilomarydai69: 😭😭😭🔙🔙🔙🤳Gali la kampuni ya MINAL FAIDHINA linalo fanya shughuli zake kutoka Tanga kwenda bumbuli limepata ajali Leo talehe 18/8/2026 maeneo ya vuga road muda wa saa 7 mchana Watu Zaidi Ya 7 Wanahofiwa kufa pale pale wengine wamepelekwa kituo Cha afya Soni na wengine wamepelekwa LUSHOTO hospital mungu awalaze mahali pema peponi ndugu zetu walio kufa na majeruhi mungu awasaidie wapone haraka
Daah polen sana ni mpango ya mung hatuwezi kuzuia😭😭😭😭😭😭😭
2026-08-18 18:30:27
19
salma luhizo 97 :
poeni san
2026-08-18 19:28:28
0
zakaria💥 :
daa inaum san wallah poreni san hakika kazi ya mungu haina makosa
2026-08-18 19:20:28
9
Rajab Mussi :
pole san 🙏🙏🙏
2026-08-18 19:29:41
0
ummykimea :
😭😭😭😭Baba angu mdogo uwiii basi Mwenyezi Mungu ampe kauli thabit
2026-08-18 19:41:31
2
💜Precious💦 :
Jmn polen sn kinachonium hyo mtt mchanga aliokufa wallah 😭😭😭
2026-08-18 20:00:33
2
ayubu khalfani :
poleni
2026-08-18 19:06:43
0
Aisha💕💘 :
jamn inauma san
2026-08-18 18:40:48
0
Dijjah🥰💞 :
Duh Innalinlah wainnalilah lajiun 🙏 mungu awatie nguvu ishaalah
2026-08-18 19:37:25
7
Mrs idrisa 😍 :
Allah awape kauli thabiti🤲🤲🤲
2026-08-18 19:05:50
3
tanzaniangirl4🇹🇿 :
X wangu awepo kwenye ajari hiyo
2026-08-18 19:30:32
0
atanacis francis :
pole San mungu awasaidie walio fiwa
2026-08-18 19:06:31
1
Mom3@ :
Omar dai tunakuomba paza sauti kwa madereva wetu jamani barabara yetu ni nyembamba kama safari tumeshatoka majumbani tutafika TU kwa uwezo wake mola lakini sio kwa speed zao madereva wetu Hali ya kuwa wanajua barabara ni nyembamba na hata gari ikipata ajali inaporomoka Moja kwa Moja mpaka bondeni hakuna kizuizi tuofaut na barabara za wenzetu gari ikianguka haiporomoki😭😭😭😭😭 nimeumia njia ni yetu sote lakini daaaa imeniuma hii
2026-08-18 20:40:24
0
Mwana online shop :
hakika kwake tutalejea nimeumia sana yani
2026-08-18 19:20:52
1
Aisha Shaaban :
Inna lillahi wainna ilaihi rajiun,, Poleni sana ndugu jamaa na marafiki wote kwa ujumla 🙏 😭😭😭
2026-08-18 19:02:09
1
Shaymah Mussa :
dah hme
2026-08-18 21:20:40
0
mishy beib :
poleni
2026-08-18 19:36:19
0
Sauna ibrahimu :
Allah awape kauli thabiti 😭😭😭😭
2026-08-18 19:14:02
1
Nusra :
inalilah wallilah lajuh inauma sana ila sote njia nimoja 🥺😭