@kilimanjaro_live: Inasemekana zamani hapo kulikua na Boma kumbwa kwaajili ya ngombe waliokua wakisafirishwa kutoka maeneo mbalimbali so hapo ilikua kama kituo, NB Hadi Sasa Hilo boma Bado lipo sema liko katika Hali mbaya sana kutokana na kutokufanyiwa marekebisho Kwa muda mrefu