@kanikibrown: "WALINIULIZA KWANINI UNAMTETEA MAKAMU WA RAIS NA TUNDU LISSU?"‘Nina maumivu makali ya kuchapwa na kitu ambacho sina uhakika ni kitu gani’ - Wiki mbili zilizopita, kada wa CCM mkoani Tanga Kazungu Bakari Kazungu alivamiwa nyumbani kwake na watu waliogoma kujitambulisha. - Kazungu ameiambia BBC Swahili kwamba watu hao walimchukua kwa nguvu, wakamfunga pingu, kumpandisha kwenye gari, kumfunga kitambaa cheusi kichwani na kuzunguka nae kwa muda mrefu huku wakimuhoji na kumpiga kila mara alipotoa majibu wasiyoridhika nayo. Kuhusu tukio la kutekwa kwa Kazungu, Polisi Mkoa wa Tanga wamethibitisha kutokea, na kumuhoji Kazungu na kwamba uchunguzi wa kina wa tukio hilo unaendelea. Hata hivyo BBC pia ilimtafuta kiongozi wa polisi mkoani Tanga lakini hakupatikana na wala kujibu ujumbe. - Yafuatayo ni sehemu ya mazungumzo kati ya Kazungu na mwandishi wa BBC @sammyawami kwa njia ya simu. - - - 🔴Ukiwa na HABARI MPIGIE RIPOTA 0622732287 RIPOTA WA HABARI ZA MIKOANI ✍ @kaniki_brown #Ripotawahabarizamikoani #kanikibrown #WeweNiFamilia
Ni CHADEMA HAO WAHAINI WAKUBWA TOKEA WAJE WAO NI UTEKAJI TU ILI WATU WAIFIKIRIE SERIKALI . TULIKUA NA KAFU HAPA WAPINZANI WAKUBWA LAKN HATUKUONA UTEKAJI LAKN TOKEA WAJE CHADEMA NI UTEKAJE KWENDA MBELE .
2026-08-19 00:59:46
1
""The Matthew Jr"" :
Tuache uchawa,hawa viongozi tumewachagua watuongoze hivyo inapoonekana wameenda ndivyo sivyo acha watu wawaseme na kama watakuwa na nia ya kujitetea tuwaache wajitetee wenyewe na wajisemee.Yaani kiongozi ana nguvu,analindwa na ana kila kitu,ila eti mtu kapuku kama mimi sina hata ulinzi wa mgambo ndo nisimame kumtetea!?.Tubadilike jamani ooh.....!!
2026-08-19 05:54:16
1
Neema Kavishe :
uyu mama Samia anatakiwa aondoke
2026-08-19 10:59:19
0
peoples favourite :
hiyo ndio Tanzania
2026-08-19 07:23:02
0
mwanza 💚 :
huyu hajatwekwa ni drama za CCM tu niminini mimi
2026-08-19 07:42:03
0
ibrah :
utekwe ukae kwenye kiti unakichaa
pole sana ndugu
2026-08-19 05:34:04
0
Joh Electromechanics Engineer :
Cirikali bakaji, filaj, tekaji uwaji na isiotaka watu waseme ukweli licha ya ku
Wa na magereza, mahakama na sheria wanazo kwann wasiztumie hizo?? 😡😡