mm niliambiwa u deserve more una roho nzuri ,unajali na moyo mzuri ila kwa Sasa
(ni kweli Kuna mtu mwingine )haya ni maneno yake
na as long as nilikuwa nishaona na namjua mtu wangu hawezi kuwa vile unless other wise Kuna mtu mpya
sio vita nilichagua kumuelewa popote alipo namuheshimu sana na nashukuru kwa nyakati njema ambazo tulipitia wote naendelea kumuombea apate mtu sahihi wa kuvushana nae
Sina kinyongo nae ...nilichagua kumpa uhuru wake
maana kuachana sio vita jamani yawezekana mtu sahihi atayenichagua na Mimi yupo anaandaliwa ili nije kuishi kiparadisoooo
2026-08-19 06:10:27
3
bundesligaboy6 :
Tik t0k mnanichanganya mjue😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
2026-08-19 20:14:27
0
mwana :
naomba ushaur jamaa aliniacha miaka 6 bila ugomv sasa anaomba arud tena kwa kas je nifanyaje?
2026-08-19 11:02:29
0
user8839214472774 :
wanaume tunaishi kutamani ila kunae tunae mpenda ila anae pedwa akijiweka katika kundi la wanao tamaniwa shida ndio uwa inaanza apo