@conradtheone1: IRAN YAKAMATA MELI YA MAFUTA YA UAE, YAELEKEA BANDARI YA BANDAR ABBAS🇦🇪🇮🇷 Meli ya mafuta ya Falme za Kiarabu (UAE), inayodaiwa kukamatwa na Iran katika sehemu ya kaskazini ya Mlango wa Hormuz, imebadilisha mwelekeo na sasa inaelekea Bandari ya Bandar Abbas nchini Iran.Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya Iran, meli hiyo awali ilikuwa ikielekea Bandari ya Jebel Ali nchini UAE. Hata hivyo, baada ya kukamatwa katika eneo la Mlango wa Hormuz, imeelekezwa kuelekea Bandar Abbas.Taarifa za awali kutoka vyombo

Conrad the one 😝😏😁
Conrad the one 😝😏😁
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 19 August 2026 05:51:17 GMT
761
12
2
1

Music

Download

Comments

shidhan.madawa
Shidhan Madawa :
Si walishaambiwa walipe.?? Sasa mvutano gani???? Walipe halaf waone kama watazuiwa
2026-08-19 09:15:50
0
dhulkarnayni.khid
Dhulkarnayni Khidhri :
good
2026-08-19 09:28:20
0
To see more videos from user @conradtheone1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About