@ared.properties: Unapohamisha umiliki wa kiwanja au nyumba kutoka kwa muuzaji kwenda kwa mnunuzi, kuna gharama mbalimbali ambazo wengi huzigundua baada ya kuanza mchakato. Kabla hujalipia kiwanja au nyumba, hakikisha unafahamu gharama zote za uhamisho wa umiliki na unatenga bajeti yake mapema. Kwa ushauri na uhakiki wa taarifa kabla ya kufanya uwekezaji wa ardhi, wasiliana nasi. 📞 Kwa msaada zaidi, tupigie leo: +255 679 426 108 WhatsApp: +255 679 426 108 108 #AREDProperties #RealEstateTanzania #Uwekezaji #Propertylnvestment #RealEstatelnvestment @Keha edson