naamini sasaa WAAFRIKA tumeanza kujitambua ameeleza vyema sna
2026-08-19 12:58:58
70
hamad salimu haji :
serekali iko wap watu wanamkufuru mungu hiv hiv😰😰😰
2026-08-20 12:19:37
4
Klyro :
nimefurahi sana kuona waafrika tumeanza kuamka.
kuna kitu kinaitwa Neural network ambacho hicho kitu ndo backbone au mgongo wa AI (Artificial intelligence) Kuna kitu kinaitwa Quantum Physics (hizo Robotics na Military Drones, Intercontinental ballistic missiles zinafanya kazi kwa uwezo wa Quantum Physics).
sasa maoni yangu ni kwamba tusipo amka hivyo vitu hatuwezi kuvifahamu, tutaendelea kukariri na sayansi tutaisoma kama historia.
2026-08-20 12:49:21
7
daulingemmjukuu :
you done bro
2026-08-20 09:14:41
0
Steven mlimba :
kichwa chenye maarifa ni utukufu kwa ulimwengu
2026-08-20 04:36:17
16
malenga :
awakening is real 💪💪💪💪
2026-08-20 16:57:03
0
kharati maund :
kweli kaka tamaduni tumezisahau
2026-08-20 06:13:59
10
Felix tz :
Mungu kuna watu amewajalia uelewa wa juu
2026-08-19 19:01:05
13
MICHAEL RUWA :
yani huyu mzee anasema kweli
2026-08-20 01:11:39
9
daudi program :
kweli chihonda nahiyo ndio tempo of karnak 💯💯💯
2026-08-19 18:00:02
10
user1326265721810 :
Alhamdulillah kwa kusilimu na kuwa Muislamu na ALLAH anifishe nikiwa Muislamu
2026-08-20 15:45:54
1
saifsaify20 :
Akili zinaanza kurud kujua mungu
2026-08-19 21:08:36
8
77 :
bang bana c k2 kizur
2026-08-19 22:08:46
0
Cpt. Borbosus :
Mzee anaongea ukweli kabisa. ila sasa kumuelewa lazima uwe na akili timamu ambayo haijajazwa uongo na udanganyifu.
2026-08-20 14:44:07
0
ayoub :
safi kabisa mkuu
2026-08-20 06:25:24
0
pamelajuma371 :
iyo nayo ni kweli sana
2026-08-20 12:47:34
1
Herbalist Judy🌿🧿 :
Safii🔥🔥🔥💯💯
2026-08-20 05:40:43
4
happy wambi :
mzeee amegrow
2026-08-19 19:35:58
0
edinestavenance :
Hii ndio Afrika tunayoitaka
2026-08-20 08:42:40
3
Malkia Ijengo :
asante Chionda Asili ikutunze.Hotep
2026-08-20 11:00:08
4
MAKUYUNI FINEST :
AMKA MWAFRIKA 🔥 🙌🏼
2026-08-19 22:52:10
5
og go :
alivyo ongea ikifikiria zaidi utamwelewa
2026-08-20 13:41:20
3
To see more videos from user @chief_maalim_mpiri1, please go to the Tikwm
homepage.