sema ndugu zetu punguzeni hasira kwamulichofanya mumezingua sana haikuwa dawa iyo
2026-08-19 11:41:55
10
Wadudu Wote :
walio gongwa na roli kwenye bodaboda mmoja wao namjuwa kafariki hapo hapo na hanafanya kazi kkoo na ni rafiki yngu wa kutaniana sana kuhusu migambo wa rod na jana tumeachana vizuri leo asubuhi nasikia tarifa yake et kafa ndo halikua anakuja kazini kumbe mauti hakimsahau mtu kama namuona halivyo kua msheshi kwa sauti yake unacheka mpaka mbavu leo sina wa kupiga nae stori ondoka kamanda wangu wote safari moja 😭😭😭😭😭😭
2026-08-19 16:03:07
24
Tz🇹🇿 :
Boda tunaamin hatuna chakpoteza
2026-08-19 14:30:11
4
Shabani Madobe :
lini iyo
2026-08-19 14:24:31
1
@Captain_Mbilinyi🚛🛣️⛰️🚧🚨 :
lini hii
2026-08-19 13:08:24
2
Aisha Rajabu :
niwapi hapo jamani
2026-08-19 09:44:12
2
Tiy🥰 :
wapi hiyo jaman
2026-08-19 09:17:41
2
Hemed Mshewa :
haijauwa watu humo ndani?
2026-08-19 13:09:00
2
samwelmasawe :
ajali imetokea maeneo yetuapa
2026-08-19 12:35:03
2
𝒎𝒓.𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 🧸 :
hivi ni kweli dereva wamemuua
2026-08-19 17:18:10
0
KIKORE AUTO SPARE PARTS :
Kaka usiombe hii nimiona Camacho yangu live
2026-08-19 19:56:16
0
kakmrixho :
mkoa gan
2026-08-19 15:33:25
0
qualityboytz :
Mda napita apo miili ilikua kando ya barabara na ilo gari bado alijachomwa
2026-08-19 17:37:22
1
Gumzo_4👊 :
chanzo nn
2026-08-19 14:48:13
1
Mama Nu²🫂👣 :
duuh isee polen wafiwa jmn boda hiz ni mtihan San IL hpo si ataenda chukuwa gari mpy
2026-08-19 19:00:43
0
its rammy@ :
mm sielew kuna shdaa gnii
2026-08-19 20:43:04
0
🍁maniger upupu🍁 :
hey io leoo hyoo 🥺
2026-08-19 15:40:58
0
mama wawili :
dah kweli amepona shemej yangu kweli mohara
2026-08-19 16:21:12
0
MUNDHIR ALY :
lini iyi
2026-08-19 16:29:05
0
friji used :
dah nilikuepo kaka
2026-08-19 16:07:04
0
khubaidah8 :
heeee wamelichoma moto tena,daaah kauwa wengi sana ,mungu awape kail thabit marehem
2026-08-19 17:07:30
0
Didah Jose :
2026-08-19 21:16:04
0
mustapha :
duh
2026-08-19 15:23:20
0
To see more videos from user @chujikachuja3, please go to the Tikwm
homepage.